Habari wakuu!
Nimehamasika. Nimewahasisha.
Nimewahamasisha watu wangu wa karibu, Nimewahamasisha watu wa kaya yangu, Mungu akitujaalia kuamka salama October 25, tutafanya matumizi sahihi ya VIKATIO, na kwa idadi, kaya yangu ina watu 7, na wote wameniahidi mabadiliko!
Tumekubaliana baada ya matumizi sahihi ya VIKATIO siku hiyo, turudi nyumbani, mama yeyoo aandae pilau, Tv iwe ON, generator letu liwe full japo ni kuu kuu, simu ziwe full charged, wana kaya wawe karibu sana na JF, na kila latest ama breaking news isitupite.
Nimehamasika, nitakuwepo nyumbani!
Je, wewe utakuwa wapi October 25?
Narudia kwa kusema "Kura yangu nitampa LOWASSA kwa kuichukia CCM."
Najua sijajibu swali lako lakini ni hivyo!
Habari wakuu!
Nimehamasika. Nimewahasisha.
Nimewahamasisha watu wangu wa karibu, Nimewahamasisha watu wa kaya yangu, Mungu akitujaalia kuamka salama October 25, tutafanya matumizi sahihi ya VIKATIO, na kwa idadi, kaya yangu ina watu 7, na wote wameniahidi mabadiliko!
Tumekubaliana baada ya matumizi sahihi ya VIKATIO siku hiyo, turudi nyumbani, mama yeyoo aandae pilau, Tv iwe ON, generator letu liwe full japo ni kuu kuu, simu ziwe full charged, wana kaya wawe karibu sana na JF, na kila latest ama breaking news isitupite.
Nimehamasika, nitakuwepo nyumbani!
Je, wewe utakuwa wapi October 25?
Wanaofanya maamuzi magumu huwa hawajitangazi hivi!
Na Mimi nasema kura yng kwa lowasa tuu tumechoka kuibiwa
Nikishamchinja huyu adui wa kijani naenda kukaa mpakani mwa rombo na Kenya.
Likinuka tu! Naomba uraia Kenya
Acha kuzingua wewe inaelekea ni Msomali!
Funga bakuli lako ESCROW wewe!
Hah! Kumbe ni Kinjekitile.
Sishangai maana huyu Jamaa anakaa kwa shemeji yake
We Mgalatia toroka uje acha kurukaruka!
Wewe utakua mkulima wa bangi safu Za milima ya usambara shout up ua mouth unapoteza muda hapa!hata hivyo kuna operation inakuja tutakupata tu.