Utake usitake: UKAWA kuvuna kura za Wana CCM kweupe

Utake usitake: UKAWA kuvuna kura za Wana CCM kweupe

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,230
Reaction score
3,332
Ukawa tunasubiri kura nyingi za CCM, tunajua kwa sasa mna makundi ambayo hayajawahi kutokea tangu chama kuanzishwa. Kama Lowasa akienguliwa kwa sababu ya Rekodi yake ya ufisadi wenye kiwango cha juu duniani hadi kuhonga Makanisa, Misikiti na kuhonga vijana njaa (4U Mov team), Team Lowasa watahamia Kwetu Ukawa na kutupigia Kura tuchukue nchi.

Team Membe isipopata nafasi ya Urais kwa sababu Membe hana tofauti na Kikwete, wote kuchekacheka tu na kuruhusu twiga wetu wasafirishwe kwenda nje, kuunga mkono utoroshwaji wa meno ya Tembo kwa ndege ya Rais wa China, Team Membe itapiga kura kwa Ukawa.

Team Mwigulu yenye style ya Kitoto ya kufanya kampeini kwa kuandika mawe ovyo ovyo, wataipigia kura Ukawa. Hili ndio kundi la ovyo kabisa maana Mwigulu amehusika katika kuwabambabikizia kesi za ugaidi Chadema, Kung'oa meno Ulimboka

Team Pinda, hii timu ikienguliwa CCM itatupigia kura Ukawa za kutosha. Hii team inampendekeza Waziri mkuu ambae pesa za Halmashauri zimeibiwa kama njugu katika historia ya nchii, Waziri mkuu ambae Pesa za Escrow zimechotwa chini ya usimamizi wake wa shughuli za Serikali.

Waziri mkuu ambae ana mamlaka ya kuzuia waganga wapiga tunguli ambao ndio wauwaji wa Albino, badala ya kupambana nao akaishia kulia Bungeni utadhani yuko Clinic

Nitaongezea taratibu wengine
 
Ukawa tunasubiri kura nyingi za CCM, tunajua kwa sasa mna makundi ambayo hayajawahi kutokea tangu chama kuanzishwa. Kama Lowasa akienguliwa kwa sababu ya Rekodi yake wa ufisadi wenye kiwango cha juu duniani hadi kuhonga Makanisa, Misikiti na kuhonga vijana njaa (4U Mov team), Team Lowasa watahamia Kwetu Ukawa na kutupigia Kura tuchukue nchi.

Team Membe isipopata nafasi ya Urais kwa sababu Membe hana tofauti na Kikwete, wote kuchekacheka tu na kuruhusu twiga wetu wasafirishe kwenda nje, kuunga mkono utoroshwaji wa meno ya Tembo kwa ndege ya Rais wa China, Team Membe itapiga kura kwa Ukawa.

Team Mwigulu yenye style ya Kitoto ya kufanya kampeini kwa kuandika mawe ovyo ovyo, wataipigia kura Ukawa. Hili ndio kundi la ovyo kabisa maana Mwigulu amehusika katika kuwabambabikizia kesi za ugaidi Chadema, Kung'oa meno Ulimboka

Ngoja niishie hapa

Ni Kweli mkuu huyu bwana kachafua mazingira sana, nimesafiri Kutoka Mbeya kwenda Arusha kupita Mtera, singida na kisha Arusha wakati wa Kurudi nilipita Chalize na Kisha Mbeya kachafua sana Mazingira anatamani hata kuandika kwenye Kuta za Nyumba, kwani huyu miaka Arobaini kafikisha Lini? au Kigezo cha miaka arobaini kimeondolewa kwa sasa?
 
Hivi huy lowasa, kwa nini Serikali ya ccm inamwogopa? Tunataka ashitakiwe kwa kufisadi taifa. Tunataka Watanzania wamwadabishe kila anakokwenda kwa kuwadharau na kusema hata leo akipata nafasi tu atarudia yale yale aliyoyafanya Richmond.

Mwakyembe na Sita wakae kwa tahadhari sana hasa aktika kipindi hiki. Rostam Azizi, Lowasa, Chenge na mafisadi wengine kwenye hilo genge si Wema. Wako tayari kununua nchi kwa gharama yoyote.

Ninawatahadharisha tu!.
 
Hivi huy lowasa, kwa nini Serikali ya ccm inamwogopa? Tunataka ashitakiwe kwa kufisadi taifa. Tunataka Watanzania wamwadabishe kila anakokwenda kwa kuwadharau na kusema hata leo akipata nafasi tu atarudia yale yale aliyoyafanya Richmond.

Mwakyembe na Sita wakae kwa tahadhari sana hasa aktika kipindi hiki. Rostam Azizi, Lowasa, Chenge na mafisadi wengine kwenye hilo genge si Wema. Wako tayari kununua nchi kwa gharama yoyote.

Ninawatahadharisha tu!.

Huna akili
 
Watanzania tunatakiwa kuwa makini sana kwenye maamuzi hususani ya nani ashike usukani huu maana wachafu ni wengi kuliko wasafi
 
Wana ukawa tuungane kwa pamoja na kutumia mapungufu hayo ya wenzetu
 
October sio mbali waungwana kikubwa we beba jamaa zako kumi nao jamaa au ndugu zako nao watafute watu wao kumi Kwenda kujiandikisha ktk daftar la kupigia kura basi tena tutamaliza biashara mchana kweupe
 
hahahaaa ccm wametunyanyasa sana wamachinga,walimu kuhusu kutupandishia mshahara, wafanyabiashara na kero yao efd mashine, wakulima nao wamezulumiwa pesa za mazao yao, wakandarasi nao sasa hii ccm itashinda kwa mbinu gani kama watanzania watachagua ccm mwaka huu basi watanzania tukapimwe wote hakili zetu labda tumelogwa maana wapinzani ukawa wametuelimisha sana watanzania labda tu kama watanzania ni wanafiki
 
Back
Top Bottom