Utajuaje upo Afrika?

I)Mzazi anazaa ili aje kusaidiwa uzeeni na mtoto
ii)"Amejiteka mwenyewe".
iii)ujanja ni kuwa na simu ya gharama Kama Iphone.

Ongezea
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kuna vituko na vijamboa Africa
Lakini siyo Africa yote wako baadhi ya watu waliopoga hatua Sema ndo Ivo ubinafsi na utabaka unaturudisha nyuma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…