valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 870
Omba upate anayekutaman halafu aje kukupenda.Na SIO upate anayekupenda aje aishie kukutamani.
Omba upate anayekutaman halafu aje kukupenda.Na SIO upate anayekupenda aje aishie kukutamani.
Sisi wakurya lazima binti akupige mtama, ukianguka anakulalia kwa juu kisha anakuambia, malizia kama wewe ni mwanaume kweli.
Kwa kuwa wewe ni dume unamsindilia mangumi na mateke na vifuti ili kuonyesha upendo.
Amazing!!!!!! Hii ni kweli?
Sisi wakurya lazima binti akupige mtama, ukianguka anakulalia kwa juu kisha anakuambia, malizia kama wewe ni mwanaume kweli.
Kwa kuwa wewe ni dume unamsindilia mangumi na mateke na vifuti ili kuonyesha upendo.
duh...kasheshe
Murrra karrribu murrra
Jifunike naye shuka moja halafu toa kijambo cha uhakika, akitoa pua yake nje basi ujue hakupendi!!.
Wengine wakipewa pesa wanahisi waanapendwa na watoaji.
Wengine wakipewa zawadi, outing, nk.
Wengine hawajui kuwa wanapendwa hadi waambiwe I love you.
Je wewe unamtambueje au unajuaje kuwa unapendwa?
hakupendi wewe au ushuzi wako?
Jifunike naye shuka moja halafu toa kijambo cha uhakika, akitoa pua yake nje basi ujue hakupendi!!.
Ukipenda Boga, unapenda na UA lake!!
hhahahahhahhhaaaaJifunike naye shuka moja halafu toa kijambo cha uhakika, akitoa pua yake nje basi ujue hakupendi!!.