Utajiri wa Magofu ya Rapta

HIKI KIPANDE KIPO SEHEMU YA MWISHO YA SIMULIZI,

NIMEKILETA HAPA ILI TUSAIDIANE BAADHI YA CONCEPTS.

kama haupo interested sio lazima kushiriki au kutoa maneno ya kejeli.



Nilijifunza nini kwenye safari ile ya kwanza kuzamia majini nikiwa na pete ya shahzad?

sehemu kubwa ilikua ni concept ya energy na concept ya matter, ndio nilichokihisi na kukiona kwenye ile trip yangu ya kwanza na baada ya kuvaa pete ile. I hope wote tunajua kuwa energy sio matter.
__________________________
Lakini pia,

Nikiwa na physics yangu uchwara kichwani, niligundua mambo mengi kwenye kile nilichokiona kwenye safari ile.

Kwanza kabisa niligundua sayansi sio kila kitu, yaani kuna mambo yanafanyika nje ya sayansi ( mtanielewa tu ).

Asilimia 90 ya mambo yanayofanyika kwenye ulimwengu wa giza huvunja kanuni za kisayansi hususani physics.

( Nakaribisha mjadala kwa anaebisha kuhusu hili na uwe unazijua kweli kanuni za kisayansi )

Hivyo kwa lugha rahisi ukitaka kuitwa mchawi basi kuwa tu na uwezo wa kufikiri nje ya sayansi au kuwa na uwezo wa kuvunja kanuni za kisayansi.


Mfano, ukiwa na uwezo wa kusafiri kutoka MWAYAYA ( UKANDA WA MANYOVU ) kwenda wilaya ya NKASI MKOA WA RUKWA ndani ya sekunde tatu. Utaitwa mchawi au watasema umeyeyuka ( teleport ) lakini uhalisia ni kwamba umevunja kanuni za physics au kanuni za kisayansi. Bila shaka utakua umevunja kanuni za zilizopo kwenye mahusiano ya muda na mwendo kasi (speed) hahaha hahah haha yaani utakua umesimamisha muda kwa lugha rahisi.

Ebu tuliache hili.

Unajua kwanini ukivunja kanuni za kisayansi utaitwa mchawi?
Hii ni kwasababu sayansi imekua ikichukuliwa kama kipimo cha mwisho cha ukweli au uelewa kwenye dunia hii,

Lakini ukweli ni kwamba sayansi ni sehemu ndogo sana ya maarifa yaliyopo kwenye ulimwengu huu.................!
Kwa kutumia pete ya shahzad niliona mahali sayansi inapoishia huku asili ikienda mbali zaidi kwa kuitumia au kuzitumia energy na matter katika namna tofauti tofauti.

Tutaelewana tu.
Sayansi has many unanswered question.
( Siipingi sayansi Nisieleweke vibaya )

Kwa mfano;
Nadhani wote tunajua kuwa speed ya mwanga inakadiliwa kuwa 300,000km/s, je vipi kuhusu speed ya giza (what about the speed of dark?).[emoji848]

Najua kuna watu watakuja na kusema kwamba giza halitembei bali linatanuka, hayo sio majibu na wala hayatoshi kutetea point husika.

Anyway uwanja ni mdogo sana hili nitalileta kama somo hapo baadae tukisha maliza simulizi yetu, kikubwa tuelewe tu kuwa kile tunachoita uchawi kiko mbele ya sayansi au kimeitangulia sayansi.

Aisee concept ni energy na matter, narudia tena energy sio matter

Hapa kwenye energy na matter hizi concept mbili ndizo zinavunja kanuni za kisayansi hususani physics.

Na hapa ndipo dhana ya nguvu za giza huibuka, kwanini huibuka ni kwasababu sayansi yenyewe au wanasayansi wenyewe hutoka patupu ndio maana hukimbilia kuita nguvu za giza baada ya kuundelea kuumiza vichwa.

Kwenye ulimwengu wa roho na ulimwengu wetu wa nyama tunafahamu ya kwamba kile kinachoitwa spirit au soul kwa kawaida kina energy ndani yake na ndio maana kina uwezo wa kufanya lolote.
( Sio kila sehemu nitakua muwazi utajiongeza mwenyewe )

TUANZIE KWENYE TOFAUTI YA ENERGY YA MATTER.

kuna watu watasema rasta simulizi imemshinda amehamia kwenye physics.
 
Mkuu, bora umerudi tena kutujuza juu ya "Utajiri wa Magofu ya Rapta"! Tulishapata hofu kwamba ulipotelea huko mazima!
 
 
Tuendelee mkuu.
 
Nashukuru kaka kwanza kwa kurejea kuiendeleza story yako ila mbona naona kama mwendelezo hauko sawa je unakumbuka mara ya mwisho ulikuwa unazungumzia jambo gani? Story ni hii hii ila tukio kama unaloliongelea leo sio mwendelezo wa mara ya mwisho
 
Umerudi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha tuendelee.
 
mkuu kunakitu naking'amua kutoka kwako endelea kutuelimisha
 
ndo shida ya stories za kuunga unga🤣😂😂😂🤣yaani mbele ya safari lazima utachemka tu
 
Yan unatuambia kwamba the most precious and most protected asset of the iranian intelligence ndo ilipelekwa huko huavalla sijui huvalla kwenye mashamba ya coca? Nani alikuwa anamlinda hapo shambani? Au hilo shamba ni la hao MOIS?
 
Afu sio kwa chai hii kali kabisa ya tangawizi. So mkuu wewe ukiondoka mademu huwa wanakufata tu😃😃😂😂
1.ulikuwa unatoka sengerema kuendelea mwanza mjini, merry akakuungia😂
2.ukaomba kwenda dar es salaam , merry nae akaunga
3.ilikuwa urudishwe bongo ila ukaomba kwenda iran na fatemeh akaridhia
4.mara unatoka iran kurudi bongo, fatemeh nae akaomba mje wote hahaha mamaee🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…