Utajiri wa Magofu ya Rapta

Ni kweli chief nakubali kwa 100% kuna makosa mengi ya kiuandishi, na hii inatokana au inasababishwa na mimi kukimbizana na muda kwani kuna majukumu yangu binafsi ambayo yanakula zaidi ya 70% ya muda wangu.

Lakini Haya yote tutayaweka sawa wakati wa kuchapa kitabu, na moja ya sababu iliyonisukuma kuwaambia wenye uhitaji wa haraka wa changie ni kwamba nikiwa nimechukua pesa ya watu lazima nitakua committed kuandika by any means.

Kama isingekua hao baadhi waliochangia basi uzi huu ungekua very slow.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mi nipo Sana mkuu, tuombe uzima, miongoni mwa nyuzi Kali Sana kuwahi kutokea hapa jf. Ilikuaje Hadi mwamba Javier akakamatwa na kuhukumiwa kifungo Cha maisha mwaka 2020?? Natamani kujua
Nitaelezea mbele chief ndio maana nimesema huko mbele kuna balaa zito kuanzia kwa fatemeh mwenyewe mpaka kwa bwana mmoja bado hatujamuona anaitwa Jamshid.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
"Nitaelezea siku nyingine"
Ni mengi sana umeahidi Chief, na tungeomba urudi kutuelezea baada tu ya kumaliza hili
 
Imewzaje kunitoa machozi hii adithi? Daaah i will always remember you marry My Love[emoji24][emoji24]
 
Huu ni mwanzo mzuri wa kuwa mtunzi wa 'novel' na uandishi wa vitabu!

Kitabu kitakuwa kizuri sana! Kuna mambo machache ya sarufi ambayo natumaini ukiwaona wataalam wa fani husika watakusaidia kuboresha maudhui yote! [emoji122][emoji122]
 
Huu ni mwanzo mzuri wa kuwa mtunzi wa 'novel' na uandishi wa vitabu!

Kitabu kitakuwa kizuri sana! Kuna mambo machache ya sarufi ambayo natumaini ukiwaona wataalam wa fani husika watakusaidia kuboresha maudhui yote! [emoji122][emoji122]
Hili tatizo la sarufi natakiwa kulifanyia kazi mapema sana, na sio sarufi tu ata kingereza changu cha form 4 kinatakiwa kunyooshwa kidogo japo wazungu wananielewa vizuri tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Wachaga, WATUTSI,wanyankole,wanyambo n.k wore wanajiita Waisrael!!!
 
Amazing, mkuu basi tupia picha za hereni za Merry, alipoteza uhai wake ili uishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…