Utajiri wa Hosea wa takukuru huu hapa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
CHAPA.jpg
 
Kama anaweza kuonesha vyanzo hakuna neno. Mapesa mbona yapo mengi sana kwenye mabenki, hata wewe kama unauwezo wa kuwaaminisha kwamba wazo lako litalipa na unao uwezo wa kurejesha unapewa hata bilioni sita fasta tu!
 
EPA, Richmond, Escrow na kesi ndogondogo zote anachunguza yeye kwanini asitajirike hata kwa tips kama za Rugemalira.
 
Kama anaweza kuonesha vyanzo hakuna neno. Mapesa mbona yapo mengi sana kwenye mabenki, hata wewe kama unauwezo wa kuwaaminisha kwamba wazo lako litalipa na unao uwezo wa kurejesha unapewa hata bilioni sita fasta tu!
Watanzania wana chuki na baba yako mkubwa. Yataisha tu.
 
Back
Top Bottom