GENTAMYCIME
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 183
- 277
dah siamini mkuu kama ndio mwisho wako wa kufikiri huo
Ukiingiza akilini kuwa hakuna utajiri bila ndagu basi utauwa mpaka mama yako kuusaka utajiri badala ya kupambanaHao waganga unaowatafuta nao wanasubiri watu kama nyie muwapelekee hela ili nao waishi
Imani dhaifu ndio inawafanya watu waamini hivyo
Mwaka 1950 Mzee alianzisha biashara ambayo na sisi tuliendeleza na sasa wajukuu ndio wanaifanya
We Kalia hayo hayo wakati wanangu wanapambana kwa sababu tumewafundisha kurudisha chenji wakiwa chekechea
Ukiingiza akilini kuwa hakuna utajiri bila ndagu basi utauwa mpaka mama yako kuusaka utajiri badala ya kupambana
Siamini uchawi bali kufanya kazi kwa bidii na bahati
Ukiingiza akilini kuwa hakuna utajiri bila ndagu basi utauwa mpaka mama yako kuusaka utajiri badala ya kupambanaHao waganga unaowatafuta nao wanasubiri watu kama nyie muwapelekee hela ili nao waishi
Imani dhaifu ndio inawafanya watu waamini hivyo
Mwaka 1950 Mzee alianzisha biashara ambayo na sisi tuliendeleza na sasa wajukuu ndio wanaifanya
We Kalia hayo hayo wakati wanangu wanapambana kwa sababu tumewafundisha kurudisha chenji wakiwa chekechea
Ukiingiza akilini kuwa hakuna utajiri bila ndagu basi utauwa mpaka mama yako kuusaka utajiri badala ya kupambana
Siamini uchawi bali kufanya kazi kwa bidii na bahati
Mkuu kuna watu wanaamini kabisa hakuna tajiri asiyeenda kwa mganga, huwa nashindwa kuwaelimisha hilo mpaka wengine niliwapa na mtaji kabisa kwa kuwaaminisha kuwa hata wao wanaweza bila kwenda kwa mgangaUkiingiza akilini kuwa hakuna utajiri bila ndagu basi utauwa mpaka mama yako kuusaka utajiri badala ya kupambana
MmmmmhKuna jamaa yupo makete njoo pm utapokea utajiri bila ata kwenda.
Uwe na elf 50 ya mizimu kwenye simu
Unamshaur ale tu si atavimbiwa..maisha ni kula tu?Achana na utajiri mkuu hauna maana yoyote. Wewe tafura pesa ya kula tuu.
dah siamini mkuu kama ndio mwisho wako wa kufikiri huo
Kuna jamaa yupo makete njoo pm utapokea utajiri bila ata kwenda.
Uwe na elf 50 ya mizimu kwenye simu
AiseeAchana na utajiri mkuu hauna maana yoyote. Wewe tafura pesa ya kula tuu.
Yesu gani tena? Huyo aliyewaambia msimshauri kwa habari yake maana dini amesoma kama Nikodemo na anaijua?Kwa kifupi tu: utajiri wa ndagu ni afadhali ya shida ulizonazo mara 1000! Acha kabisa upuuzi huu wa kufikiri kuna furaha kwenye utajiri wa kiganga. Hutakuwa huru kamwe na utateseka bila hata kuwa na uwezo au ruhusa ya kuwaambia familia yako na hutatoka huko pindi uingiapo isipokuwa kwa njia moja tu kama utakuwa na bahati: Yesu Kristo!