utajibu nini

utajibu nini

Farhad waziry

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
7
Reaction score
0
mfano una ishi dodoma.sasa siku moja umeamka alaf ukajikuta upo bukoba tena bila nguo yoyote ila nyumba ina fensi.alafu kwambali unasikia wenye nyumba wanaamka je utaongea neno gani wakuelewe?????????
 
Hapo hakuna cha kujitetea zaidi ya kusepa tu, bora wanikamatie mbali
 
ntasema peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees, wakisema power tu,nalala tena :rockon:
 
Utakuwa ni wale wanaosafiri na ungo.....ikakosema majira na kuanguka. Lazma upokee kichapo
 
Nitawauliza kama na wao ni wachawi.
 
Hapo no way lazima niuvae uchizi na kupata ugonjwa wa kusahau.
 
Back
Top Bottom