Utafiti: Wasaidizi wa mama lishe chanzo kipya cha ukahaba Dar

Hili nimewahi kulisemea kwenye uzi fulani humu... yaani mama lishe wengi ndo hivyo sasahivi utakuta jimama lina act as kuwauza mabinti wake wa kazi (linakuwa ndo lichongeshaji kona)
Wewe unaumia nini Sasa?
 
  1. Kama jukwaa tunawashauri nini serikali
  2. Tunawashauru nini wazazi
  3. Tunawashauri nini waajiri
  4. Tunawashauri nini wasichana
  5. Tunawashauri nini bodaboda (un saurikables)
  6. Tunawashauri nini wazee wa mitaa na miji husika
Serikali imebariki kazi hizi
 
Vijana! Mnanunua kama bidhaa? Tafuta wako wa kudumu, acha kutangatanga, mtapukutika. Yanayosemwa ni kweli nami nimeshuhudia.
 
ndefu mno, ila kwa heading sahihi kabisa

wasaidizi wa mama lishe unagonga easy kabisa, wepesi mno, hadi mama lishe mwenyewe
Ni kweli kabisa ukisemacho mkuu.

Hii kada ya mama ntilie kwa uhuni haina cha boss wala mfanyakazi.

Na anayejifanya mgumu ni muongo, ukifuatilia nyendo zake mwishowe lazima ugundue kuwa ni wale wale kasoro tarehe.

Halafu wengi wao wanenona, sijui kwa sababu ya kuridhika na kuonja onja michuzi!
 
wahudumu wa bar nao tunaweka kundi gani!
Wenye maduka ya nguo na wafanyakazi wa kike !
 
Madem wa mpwayungu village hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…