Utafiti: Walevi wanalindana maofisini

Utafiti: Walevi wanalindana maofisini

Dun duu

Senior Member
Joined
May 28, 2022
Posts
132
Reaction score
214
Habari zenu.

Mimi ni mtumishi wa serikali Kwa miaka 17 sasa. Kwa muda wote niliofanya kazi nimegundua mengi sana maofisini.

Ifauatayo ni orodha ya namna walevi wanavyolindana maofisini:

1. Bosi mlevi hupendelea wafanyakazi wenzie walevi katika vifursa. (Sensa walevi wengi waliweka walevi wenzao)

2. Ukifanya kosa wewe usiekunywa linakuwa kubwa. Akifanya mlevi ni dogo na halitafanyiwa kazi(Mlevi mmoja aliishi na mwanafunzi kingono na bado alipewa uongozi).

3. Semina nyingi bosi mlevi atawapendelea kwanza walevi wenzie.

4. Mengine ni ukabila udini na kujuana.

Ongezea,
 
Ni sahihi ..kingine walevi NI watoaji wazuri hawapendi kupata furaha peke Yao...ila wanywa Soda siwafagilii imagine mtu kapata per diem huko au semina halafu hata kunipa elfu kumi inakuwa kipengele.

Ila mlevi mwenzako hachelewi kukwambia twende kiwanja tukapate bia kule akifika Mara nyama choma kwanini usimpende
 
Mlevi hana siri kua makini sina cha kuongezea


8983e438bf76c60d4d69fc5152a70aad.jpg
 
Ukabila na udini Sina uhakika ila kuhusu kujuana ndo huko kunaanzia bar Sasa we mtu utamjuaje akati akiwa hajalewa akufungukii kiundani...staff akilewa mastory mengi unajua kabisa huyu hata tukimpa hela analipa tozo bila kuhoji
 
Ubaguzi upendeleo ni wa kutisha sana cha muhimu tupambane ili tuwe huru
 
Ni sahihi ..kingine walevi NI watoaji wazuri hawapendi kupata furaha peke Yao...ila wanywa Soda siwafagilii imagine mtu kapata per diem huko au semina halafu hata kunipa elfu kumi inakuwa kipengele...ila mlevi mwenzako hachelewi kukwambia twende kiwanja tukapate bia kule akifika Mara nyama choma....kwanini usimpende
Kwahyo bro kwa mimi ambaye sinywi pombe si nitateseka huko ofsini ?

maana ukicheki company nyingi za kiumeni , urafiki wa faida na connection nyingi zinapatikana bar
 
Habari zenu.

Mimi ni mtumishi wa serikali Kwa miaka 17 sasa. Kwa muda wote niliofanya kazi nimegundua mengi sana maofisini.

Ifauatayo ni orodha ya namna walevi wanavyolindana maofisini:

1. Bosi mlevi hupendelea wafanyakazi wenzie walevi ktk vifursa. (Sensa walevi wengi waliweka walevi wenzao)

2. Ukifanya kosa wewe usiekunywa linakuwa kubwa.Akifanya mlevi ni dogo na halitafanyiwa kazi(Mlevi mmoja aliishi na mwanafunzi kingono na bado alipewa uongozi).

3. Semina nyingi bosi mlevi atawapendelea kwanza walevi wenzie.

4. Mengine ni ukabila udini na kujuana.

Ongezea,
Uko sahihi.Mimi nina zaidi ya miaka 25 kazini.Aisee upo sahihi
 
Back
Top Bottom