Utafiti umeonyesha kwamba kumbe.......

Kwa taaluma yangu ya afya nilionayo sijawai sikia ayo madin....ebu yataje kwa majina ayo madini

Halafu sio kila mtu anaweza kufanya research
 
na mvae tu tena bikini kabsaaa maana kushadadia mambo kumewazidi, tunavyojua kwenye korodani kuna barid ili kuregualate temperature. na ndio maana zikawekwa njee ya mwili, Leo mnatudanganya kuna joto! shame upon you
 
Ukisikia uchizi ndio huu 😀😀
 
Kila mtu aliyepitia uxi uu anapinga tuu kuhusu utafit uu,ebu ngoja wajuz wapitie APA wanaweza kusema kitu chanya kuhusu utafit uu.
 
Utafit huu ungetolewa na wataalamu kutoka pale Oxford university au Harvard university wote humu mngeushabikia na hata kuvaliana pichu kwa kac ya ajabu.
 
Hmm hii sayansi naona ni mpya hapa mjini, tutavaa hiyo chupi lakini tatizo litakua size, maana wife hiyo mi wowowo.
 
na mvae tu tena bikini kabsaaa maana kushadadia mambo kumewazidi, tunavyojua kwenye korodani kuna barid ili kuregualate temperature. na ndio maana zikawekwa njee ya mwili, Leo mnatudanganya kuna joto! shame upon you
Yani kwa alichokiandika unaweza pata ata wasiwasi na elimu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…