kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,945
Ni kweli sisi ni wanafiki namba moja duniani,kuanzia waongozwa mpaka waongozaji Mara tujifanye tuko na mmarekani Mara mchina ndio rafiki yetu wa karibu Mara tujibane Kwa mwingereza,leo hii mvietnam ndio amekuwa the best sasa yaani hatuna msimamo kabisa hao jamaa hawajatuonea wamesema ukweli