pacha unajua ndo yale nilikwambi siku ile mwanadamu katika uhalisia wake ni mtu anapenda vitu vipya kila uchao sasa kwa mwanaume kuwa na lust hilo wala si lakupinga tunachopinga sisi na kutoka povu ni kuwa wanawake kwa wanaume they do take this reality for granted,wanawake wanabaki kubweteka wakiamini hata wafanye nini mwanaume ana tamaa na wanaume wancheat wakiamini bila kuwa na mwanamke nje hajakamilika!hapa ndo kwenye shida!sisi ni wanadamu sio wanyama my dears!tuna utashi!haimaaninisha unafuata tu ur ego inavokupeleka!
sikiliza Asprin unafikir nakataa swala la wewe kucheat? ila ujue kabisa kama unacheat na wewe unacheatiwa tu, manake kama utatoka na mimi basi ujue kuna possibility ya mume wangu kutoka na mkeo na ndivyo ilivyo logically. wafikir hizo sexual desire zipo kwa male peke yake? jua kabisa kama kuna kiatu kinauzwa basi kuna mwenye mguu anayekihitaj kiatu hicho.
SnowBall mbona jibu hapa i rahisi sana jibu ni mwanaume na sababua ni hormones zaake kwamba androgen kila siku inafanya kazi yake tofauti na female hormones ambazo grafu zake hupanda na kushuka.Bora wewe unalitambua na naamini ukishalitambua hili unaweza kutafuta solution japo ya muda mfupi.
Tatizo wanawake wengi inapokuja 'infidelity' wanalichukulia jambo hili kwa uzito sawa kati ya wanawake na wanaume..sana sana wakiamini busara ya kawaida itachukua mkondo wake. Hata mimi sisemi ni jambo zuri kucheat but jambo linapokuwa 'extreme' inabidi kuliangalia kwa mapana yake!
Hebu nikuulize my pacha snowhite ..suppose ke na me wanakuwa exposed kwenye sehemu flani kwa muda mrefu who do you think ataanza kuhisi njaa ya ngono??..ukinipa jibu sema na 'why'??
ni kweli kabisa kwamba sexual desires ni pronounced aaaid kwa males na sababua nia hizo male hormones ambazo muda wote graph yake iko juu, ili hali females graph hushuka na kupanda kila siku. siku ambazo graph iko juu ni siku ambazo yuko kwenye heat na hapo ndipo anakuwa na hamu ya kufanya the rest huwa ni kawaida tu.Mwalimu na nyie sexual desire iko juu kama sisi??
Si wanasemaga mwanamke aweza kuvumilia muda mrefu kukaa bila kudo as compared to men?
Ina ukweli wowote hii theory???
sikiliza Asprin unafikir nakataa swala la wewe kucheat? ila ujue kabisa kama unacheat na wewe unacheatiwa tu, manake kama utatoka na mimi basi ujue kuna possibility ya mume wangu kutoka na mkeo na ndivyo ilivyo logically. wafikir hizo sexual desire zipo kwa male peke yake? jua kabisa kama kuna kiatu kinauzwa basi kuna mwenye mguu anayekihitaj kiatu hicho.
Kwahiyo umekubaliana na mimi kuwa infidelity is inevitable?
Unakubaliana nami pia kwakuwa infidelity is inevitable, kwahiyo inapotoea kucheat then tucheat responsibly?
Naomba kucheat na wewe.