Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Uzalendo kwa haya yanayoendelea are you seriousWatanzania wazalendo wengi wanatamani hata uchaguzi uwe kesho wakamuweke tena John pombe Joseph magufuli.
you are right MkuuHata ikifanyika kura ya maoni Leo kuhusu utendaji kazi wa Bwana mkubwa, ninaamini majority hata kutoka ndani ya chama chake watasema watakuwa wanakerwa na mfumo wa huyo jamaa wa kujiona yeye ndiye EACH and EVERYTHING!
Watanzania wazalendo wengi wanatamani hata uchaguzi uwe kesho wakamuweke tena John pombe Joseph magufuli.
Moshi na ArushaWatanzania wa eneo gani hao?? au mkoa gani??
Watanzania wazalendo wengi wanatamani hata uchaguzi uwe kesho wakamuweke tena John pombe Joseph magufuli.
Nikawaidaaa yenuuu kujifalij....hata kwa lisu mlisema Hafez shindaaa uraisNaona bado mnaota!!
Natamani hiyo 2020 ifike mapema ili uone Kama huyo Lowasa atazifikisha zile kura Mil 6 Za 2015!!
Unaumiza lakini vumilia maana hakuna namnautafiti wa wanywa gongo huo
huwezi kuamini maana maneno ya Tundu Lissu Yanatimia moja baada ya jingineNi mpuuzi pekee ndio ataamini utafiti wako hasa akiangalia avatar yako Mwanahabari Huru