utafanyaje ikikutokea hivi kesho jumapil asubuh

utafanyaje ikikutokea hivi kesho jumapil asubuh

mkono wa nyoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
334
Reaction score
54
Usiku wa leo tuwe makini kulinda vidole vyetu Mara unaamka asubuhi kina Wino tayari 😂😂😂
 
Nakikata naenda bila kidole asubuhiiii mapema. Haiwezekani niache kumpa kura yangu Lowasa.
 
Haiwezekani,miaka yote nasimamia lakini hua sipigi kura.This time nachinja tu.
 
Magufuli hatakua raisi labda atakua rahisi/ raisa mamake
Rais ashajulkana km ni lowasa mwana wa mabadlko
 
Pse tuwe na AMANI Tuu...!na subra kuu...mambo yatajipa tuu...peace to all wana JF..Family...kuna maisha baaada ya Election....!tushikamane...Tanzania ni yetu sote...hatuna nyingine.....MUNGU AWE NANYI DAIMA......!.Ameeen!.all the best!!!.
 
Back
Top Bottom