UTABIRI: Simba kutoka sare ya 1-1 na Al Ahly

Mpira hauchezwi mdomoni. Mpira unachezwa uwanjani. Hiyo sare mpaka ipatikane, ni lazima wachezaji wa pande zote wavuje jasho ndani ya dakika 90 za mchezo.
 
Katika maono yangu nimeona mwarabu akikosa goli la wazi kabisa japo matokeo sikuyaona ila nimeona tu mwarabu goli la wazi kashidwa kumalizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…