Newbies JF-Expert Member Jul 13, 2018 1,515 2,196 Mar 28, 2024 #1 Mchezo utapigwa kesho utabiri wetu Ni 1-1π
M Mzee wa Twitter JF-Expert Member Nov 5, 2023 1,387 2,169 Mar 28, 2024 #2 MASSHELE said: Mchezo utapigwa kesho utabiri wetu Ni 1-1 Click to expand... UMESIKIKA SHEIKH YAHAYA
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,488 82,205 Mar 28, 2024 #5 Mpira hauchezwi mdomoni. Mpira unachezwa uwanjani. Hiyo sare mpaka ipatikane, ni lazima wachezaji wa pande zote wavuje jasho ndani ya dakika 90 za mchezo.
Mpira hauchezwi mdomoni. Mpira unachezwa uwanjani. Hiyo sare mpaka ipatikane, ni lazima wachezaji wa pande zote wavuje jasho ndani ya dakika 90 za mchezo.
Maxmax72 JF-Expert Member Nov 6, 2018 536 1,001 Mar 28, 2024 #6 Katika maono yangu nimeona mwarabu akikosa goli la wazi kabisa japo matokeo sikuyaona ila nimeona tu mwarabu goli la wazi kashidwa kumalizia.
Katika maono yangu nimeona mwarabu akikosa goli la wazi kabisa japo matokeo sikuyaona ila nimeona tu mwarabu goli la wazi kashidwa kumalizia.
Auto-Marvelt JF-Expert Member Jul 13, 2019 745 1,426 Mar 28, 2024 #7 Baada ya kujadili mechi ya Mamelodi ndo tumeanza kushtuka saiv