Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,204
- 37,555
Wakuu hili swala la uchinjaji wa nyama Serekali inabidi iliangalia vizuri na inabidi ukurupukaji wa Bwana Wasira utazamwe upya.Leo nilipita mitaa ya Picknic na Soweto kwaajili ya kupata Nyama choma ajabu bar zote walikuwa na nyama ya jana nilipouliza kulikoni nilijibiwa uchinjaji wa nyama kwajili ya biashara umeshuka sana kwakuwa wanunuzi wengi wamesusia ulaji wa nyama ya ng'ombe kwasababu za kiimani.
Ikumbukwe sakata la uchinjaji limeanzia Mwanza na sasa limetua Arusha sijui kesho na keshokutwa litakwenda wapi serekali ipo kimya hili kwao si tatizo.Watawala wetu wamezoea kutatua jambo likiwa limeshafikia hatua mbaya hili tumelishuhudia Mtwara.
Naomba kuwasilisha.
Ikumbukwe sakata la uchinjaji limeanzia Mwanza na sasa limetua Arusha sijui kesho na keshokutwa litakwenda wapi serekali ipo kimya hili kwao si tatizo.Watawala wetu wamezoea kutatua jambo likiwa limeshafikia hatua mbaya hili tumelishuhudia Mtwara.
Naomba kuwasilisha.