Usizae na mme wa mtu

Usizae na mme wa mtu

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Wadau sababu zilizonifanya kuleta uzi huu ni kero ambazo nimekua nikipata kutoka kwa mpangaji mwezangu aliyezaa na mme wa mtu..mara nyingi hasa usiku mtoto huzidiwa hivyo nalazimika kuchukua nafasi ya baba wa mtoto kumkimbiza mtoto hospital ...huwa namwacha mke wangu kitandani....huyu dada kwa wakati huo huwa kama amechanganyikiwa hivi maana akimpigia baba wa mtoto (mume wa mtu)huwa hapokei simu na akipokea husema hawezi kutoka usiku huo anamwogopa mke wake...hali hii imetokea kama Mara 4 ivi na kama ujuavyo wanawake hawapendani basi nikirudi namkuta mke wangu kanuna anaanza kunishambulia kwa maneno machafu kuwa Nina uhusiano na huyu dada....chonde chonde dada zangu msizae na waume za watu mtateseka sana.
 
Wadau sababu zilizonifanya kuleta uzi huu ni kero ambazo nimekua nikipata kutoka kwa mpangaji mwezangu aliyezaa na mme wa mtu..mara nyingi hasa usiku mtoto huzidiwa hivyo nalazimika kuchukua nafasi ya baba wa mtoto kumkimbiza mtoto hospital ...huwa namwacha mke wangu kitandani....huyu dada kwa wakati huo huwa kama amechanganyikiwa hivi maana akimpigia baba wa mtoto (mume wa mtu)huwa hapokei simu na akipokea husema hawezi kutoka usiku huo anamwogopa mke wake...hali hii imetokea kama Mara 4 ivi na kama ujuavyo wanawake hawapendani basi nikirudi namkuta mke wangu kanuna anaanza kunishambulia kwa maneno machafu kuwa Nina uhusiano na huyu dada....chonde chonde dada zangu msizae na waume za watu mtateseka sana.
Unataka kuniambia ww huwezi kusafir kikazi na mtt akaumwa na ukasaidiwa na jiran kama hiyo ndio sababu washaur pia wasiolewe na madereva.mabaharia na wafanya biashara wanaosafir safir

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuniambia ww huwezi kusafir kikazi na mtt akaumwa na ukasaidiwa na jiran kama hiyo ndio sababu washaur pia wasiolewe na madereva.mabaharia na wafanya biashara wanaosafir safir

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umeongea manini haya ?.

Kuna tofauti ya kuzaa na mume wa mtu na kuzaa na mume wako mwenyewe ambaye ni baharia, dereva n.k !!.

Mume wake ambye ni Baharia yupo Radhi kuomba ruhusa arudi kuangalia mkewe na watoto....LKN KAMWE MUME WAMTU ALOZAA NAYE, HATOKAA AWE TAYAR KUFANYA IVO ILI MRADI TU YUPO NA FAMILIA YAKE .


Inshu sio nani amsaidie, inshu ni Utayar wa huyo anayemsaidia.



"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Sasa umeongea manini haya ?.

Kuna tofauti ya kuzaa na mume wa mtu na kuzaa na mume wako mwenyewe ambaye ni baharia, dereva n.k !!.

Mume wake ambye ni Baharia yupo Radhi kuomba ruhusa arudi kuangalia mkewe na watoto....LKN KAMWE MUME WAMTU ALOZAA NAYE, HATOKAA AWE TAYAR KUFANYA IVO ILI MRADI TU YUPO NA FAMILIA YAKE .


Inshu sio nani amsaidie, inshu ni Utayar wa huyo anayemsaidia.



"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Sasa wewe mume wako ni yupi nibaharia au dereva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima jamii ielewe kuwa kila mwanamke akitaka kuzaa na mumewe Basi tuongeze watawa wawe wengi zaidi.
Au wanawake wasiokuwa na ndoto za kuwa na watoto waongezeke.

Wanaume waoaji na ambao wako tayari kubeba majukumu ya familia wamepungua na wanawake wenye hamu ya kuwa na watoto wako wengi.
Ndio maana wanaangukia kwa waume za wenzao.
Suala sio kuzaa na Nani?
Suala Ni Kuna mipango gani kwa ukuaji wa huyo mtoto!?
Umezaa na mume wa mtu, kamkatia mtoto bima ya afya?
Au kakuachia pesa za dharula mtoto akiugua? Au ndio umeachiwa ukaenda kusuka katani kichwani?
Kama huna kitu ndio unaanza kuhangaika na kupiga simu kwa mtu kalala zake huko aliko.!!
Unapoamua kuzaa na mwanaume ambaye unajua ana nyumba nyingine na wewe Ni wa kufichama hakikisha;
Unajimudu kimaksha,
Anaacha pesa ya matibabu ya mtoto,
Anaacha pesa ya dharula inapotokea
Hutakuwa kero kwa familia yake,


Japokuwa jamii inaishi kinafiki sana lakini ratio ya 1:1 haiwezekani na haiji kuwezekana.
Zamani dingi linakuwa na wake zake 4 wanafahamika na kila mmoja kiasi kwamba yeyote Kati ya hao anakuwa huru kudai huduma kwa huyo mwanaume muda wowote. Ilimradi isiwe fujo tu. Najua watakaonipinga wapo japokuwa wengine wamezaa na waume za watu na wanaume wamezaa na kuficha watoto.!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact
Lazima jamii ielewe kuwa kila mwanamke akitaka kuzaa na mumewe Basi tuongeze watawa wawe wengi zaidi.
Au wanawake wasiokuwa na ndoto za kuwa na watoto waongezeke.

Wanaume waoaji na ambao wako tayari kubeba majukumu ya familia wamepungua na wanawake wenye hamu ya kuwa na watoto wako wengi.
Ndio maana wanaangukia kwa waume za wenzao.
Suala sio kuzaa na Nani?
Suala Ni Kuna mipango gani kwa ukuaji wa huyo mtoto!?
Umezaa na mume wa mtu, kamkatia mtoto bima ya afya?
Au kakuachia pesa za dharula mtoto akiugua? Au ndio umeachiwa ukaenda kusuka katani kichwani?
Kama huna kitu ndio unaanza kuhangaika na kupiga simu kwa mtu kalala zake huko aliko.!!
Unapoamua kuzaa na mwanaume ambaye unajua ana nyumba nyingine na wewe Ni wa kufichama hakikisha;
Unajimudu kimaksha,
Anaacha pesa ya matibabu ya mtoto,
Anaacha pesa ya dharula inapotokea
Hutakuwa kero kwa familia yake,


Japokuwa jamii inaishi kinafiki sana lakini ratio ya 1:1 haiwezekani na haiji kuwezekana.
Zamani dingi linakuwa na wake zake 4 wanafahamika na kila mmoja kiasi kwamba yeyote Kati ya hao anakuwa huru kudai huduma kwa huyo mwanaume muda wowote. Ilimradi isiwe fujo tu. Najua watakaonipinga wapo japokuwa wengine wamezaa na waume za watu na wanaume wamezaa na kuficha watoto.!!


Sent using Jamii Forums mobile app

troublemaker 2019. all right received.
 
Unataka kuniambia ww huwezi kusafir kikazi na mtt akaumwa na ukasaidiwa na jiran kama hiyo ndio sababu washaur pia wasiolewe na madereva.mabaharia na wafanya biashara wanaosafir safir

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mawazo finyu ya mtu anayedhani kila mtu analala kwake siku zote, hoja ya jamaa ni mufilisi kabisa
 
Back
Top Bottom