Kama unachochote au hata kwa jirani au rafiki usije ukakiona kidogo au kibaya kunawengine wana kitafuta hicho
Hivyo tualifu na tutakifuata ili tuchanganye na vya wengine, kisha tutatangaza siku ya kupeleka tuta jumuika wote..
Mungu akutangulie kwenye kutafakari hili.
View attachment 617391 View attachment 617391 [/QU
Wengi wanavitu vichache hivyo kupeleka wanaona havitoshi, sisi sisi tumejitolea kuvikusanya Kwa mmoja mmoja km nishati ,akweti halafu tunazifikisha kwao
Kwenye tangazo namba zipo
0789482438