Hata bilioni moja haiwezi kununua mtu.
Ila binadamu ananunulika/ananunuliwa ndio kama hao wanawake wanaonunuliwa, watumwa walinunuliwa kwa sababu hawakuhesabika kama Watu.
Mtu huwezi mtolea mahari. Ila binadamu unamtolea tuu kwa sababu binadamu akikosa utu sio mtu tena bali mnyama, na anaweza kuuzwa kwa bei yoyote tuu.
Hata gari linaweza kuwa na thamani kuliko binadamu