Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Mkuu ingawa bet na kamari nyinginezo zinafirisi, lakini kuna watu pia wanapata.kwahiyo haishangazi wachache kama wewe kupatikana kwenye kundi kubwa. Hata hivyo kumsomesha mwanamke ni kamari mbaya
Hakika wanena vyema mkuu

Huyo ni mmoja kwenye wachache
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu

Mumeo ni mvumilivu, ninampa credit, nina amini tu hivyo.
 
Somesha tu, wenzako tunawafungulia hadi biashara za mamilioni. Unajua hawa wenzetu wana matatizo yao, kwahiyo lazima ucheze kwa taadhari. Certificate mtoto, Bachelor Mtoto, Field mtoto, post graduate Mtoto, sasa unaogopa nini hapo?
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
Hujui baadhi ya watu siku hizi wanaishi kwa nadharia na tafiti za online
 



Funga ndoa kwanza ndipo uanze kumsomesha ni kweli hili limekua kilio kwa wengi
 
Kuna mwenzenu juz kajinyonga huku
 
Mke akipata kazi nzuri utabaki salama? Nani kakwambia?
 
Nimesomesha mpenzi wangu toka Advance mpaka Shahada yake ya awali...... alipo pata kazi ikawa zamu yangu kusoma.

Kafanya makubwa sana katika mahusiano yetu, namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa huyu Mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…