britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Birju Kishor Salla wa India amefungwa kifungo cha maisha jela na faini ya Tsh. Bilioni 1 kwa kosa la kuilazimu Ndege ya Jet Airways kutua kwa dharura baada ya kuacha ujumbe chooni uliokuwa ukidai kuwa ndani ya Ndege hiyo kuna mabomu na Watekaji nyara kitu ambacho hakikuwa kweli.