chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
aaah saa hizi!!! hata kama unajua madaladala ya kwetu shida ila nishafika...kesho nitakusubiri
Ngoma mbagustiii hiyooo...dar live.
aaah saa hizi!!! hata kama unajua madaladala ya kwetu shida ila nishafika...kesho nitakusubiri
Ngoma mbagustiii hiyooo...dar live.
Wacha tufuatilie thread polepole........
kwetu hakuna njia ya gari kabisa
Ha ha ha ha ha ha ha ha...te te te te
Kuna mtu lazima aguswe hapa...te te te
Una umwa na stress za kupigwa ban
Tunaochukua mikopo tunune vits tusipate shida ya dala mjini tunahongwa na mabenki foolish type:banghead:
Ha ha ha ha ha ha ha ha...te te te te
Kuna mtu lazima aguswe hapa...te te te
Teh kama kaukweli flani hivi
Jirani yangu ni mmama, hana mume ila anae anampunguza uraru libaba sijui la wapiii. Ana watoto wawili. Magari yake ni V8 na Navara sa sijui kahongwa au kajinunulia maana mmama anafanya kazi kwenye ofisi zile magari yana pleti namba za blue.
Acha uongo we mtoa mada,mbona nina harrier na sijsolewa.
Acha uongo we mtoa mada,mbona nina harrier na sijsolewa.