Usipitwe na hii Thread I swear you gonna like it!!!!

duh aisee imenigusa kweli ...hata mie nahisi udomo zege huwa unaniponza sana............


bora umekuwa wazi, na kwa nin ujvunge ukipenda sehemu...kuwa jasiri-jitume mwanaume, ukisubiri uambiwe kama huyo jamaa ako, utaishia kula kwa macho
 
You can never have someone praise you,nor will anyone condemn you,never in the past,not at present and never will be in the future
 
Dah kazi kweli kuna mtu namfahamu ameoa jmosi iliyopita , sababu ya kuoa sio kwamba anampenda bidada ila kwakuwa ana ujauzito anajifungua mwezi ujao , from that staement i realized that men can sleep with a total of 1000 women and not love any among them . Wanaume muwe munafunguka tu ujue hata chemical reactions nyingine zinahitaji catalyst ili reaction iende msiwe domo zege
 
Very nice story. Nashindwa kuelewa kitu kimoja tuu, Je wewe miaka yote hiyo hukuwahi kumdate demu mwingine? because I am sure that angekuona na mtu mwingine angekutamani zaidi. Knowing women ndio agetaka asikupoteze.
 
somo zuri, ila hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume. kati ya hao wawili lazima kuna mmja anaumia zaidi kwa kumpenda mwenzake kimapenzi na wala si urafiki.
 

shukuru mungu haukumpata......ungempata saizi ungekua ####"mjane"#####
 
hata angekukubalia bado siku ya mazishi ungelia kwa kumkosa milele na uchuvgu ungekuwa mkubwa kuliko wa kumkosa as a lover.
 
typical fictional story. labda cha kujiuliza, nini kimemuua? kama ni ngoma, bora ulikuwa domo zege...
 
umh! utakuta mwengine anakandamiza kabisa kukuita kaka!






 
Ni kweli lkin wakat mwingine unaweza kujuta maana mahusiano na urafiki wa kawaida ni vitu viwil tofaut so mkianza mahusiano na mkapoteza urafiki wa kawaida utatamni tena kipindi cha urafiki kama mkianza kuzinguana ktk hayo mahusiano yenu.
 
real or made up it is TOUCHY.
kama alivyosema mdau mmojawapo...liwalo na liwe piga siasa jimbo likuelewe kama unapewa kura au hupewi ni suala lingine. kukataliwa inauma ila kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…