Usiombe mwanamke akuchoke!


Sijaelewa the motive behind ya ku fake your true identity! Kwa mdada uliyekuwa unampenda. No wonder na yeye alikuwa akifake orgasm. Pengine alishakushtukia.So mjini tunasema ngoma draw. To me faking(with the exception na forums kama hizi) identity or orgasm is a sign of insecurity. Ngoja nikuulize, hivi ulipokuwa unajibishana na huyo ex-valentine wako,ulitegemea utamshinda mwanamke kwa maneno?!!!
Wakati mwingine ukimya unaweza kuchanganywa na busara.
U
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa, mkuu Mrigariga siyo mimi, mwambie dalalitz!
 
Last edited by a moderator:
Hayo n maneno ya mkosaji 2..hata mm nilikua na bint wa kitanga alikua akinisifia sana ila baada ya kuachana akawa anaongea maneno kama hayo...
Kumbe tupo waathirika wengi wa tabia hizi za mabinti ee?
 
Mrigariga, hayo yote ni mapito ndugu.
 
Ilishasemwa, Mwenye kisu kikali..........................................................................?
 
Mokoyo we ndo mume wangu wa kweli. dalalitz huyu kajipendekeza mwenyewe na me siwezi kukataa pesa.... ITEGAMATWI avatar yake imenivutia sikujua kama ungeona mpenzi Mokoyo naomba nisamehe

Usichelewe Ms.chagga muda nadhani unaukumbuka,Tukutane palepale tafadhari zingatia muda, Nilipitiwa kuhusu yale mambo mengine lakini nadhani Tigo pesa inahusika nitakustua usikonde.
 
mydia am counting on your steps, moyo huko juu juu hapa ukichomoka tu ujue unahusika
Aaa wapi acha uongo wa mapenzi ya kizamani, Wewe kila ninapopumzika mimi nawewe unatamani,
Niachie mwenyewe toto langu la kichaga.
 
ITEGAMATWI nakusikitikia sana maana huwa sibishanagi na wezi wa mali zangu, wewe ni kukubebesha busha tu la kilo kumi, utaacha kuzengea mali za wakubwa

Makubwa!!!
 
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.

angelita;
Ndiyo umeamua kututangazia kuwa umewajaribu makabila mengi na kila mmoja unamwekea marks?? Weye ni kiboko yao. Unajitapa ati kwa uzoefu wako ulio nao! Lol! Bidada, unasema weye ni mzoefuuu. Haya banaa yetu macho tu.
Mleta mada tunamwambia, na huu pia ni uzoefu wetu tulio zoea kuachwa, Mwanamke akikuacha, atakalokuwa anakusema nalo, ni lile ulilomfikishia penyewe. Amejaribu kwingine akaona weye ni TOP. Hivyo anajifanya kukuponda kwa hilo ili hisia zimwishe. Lakini kila akiwa na mwingine, anangojea amkune palee lakini huyu mpya hajui hitaji hilo, weye ulilijua.
Wamangi ni TOP kwenye mambo hayo ya mapenzi
 
Mkuu demu ukimlizisha utamjua tu,baada ya shughuli lazima apate kausingizi kidogo au atakuomba maji.
 
Aaa wapi acha uongo wa mapenzi ya kizamani, Wewe kila ninapopumzika mimi nawewe unatamani,
Niachie mwenyewe toto langu la kichaga.

sasa kama unafikiri ni uongo endelea kumzengea uone kama tumbo halijahamia mgongoni
 
Ilishasemwa, Mwenye kisu kikali..........................................................................?

hicho kisu chako kikali kitakukata mwenyewe, we endelea kuchangamka na mali za watu wazima
 
Usichelewe Ms.chagga muda nadhani unaukumbuka,Tukutane palepale tafadhari zingatia muda, Nilipitiwa kuhusu yale mambo mengine lakini nadhani Tigo pesa inahusika nitakustua usikonde.

nituie na hela ya taksi si unajua sipendi kutembea na ya maji njiani kwenye foleni..
 
hahahhaahahaaaaaa heeeeeeiya pole bestito
utavuna ulichokipanda ulidhani utapanda mgomba uvune matembele suthubutuuuuu
uongo wako umekuponza bestito umevuna makapi ya mpapule pole mwaya
nadhani utarudia tena uongo wako kwa wengine umejifanya mjuaji kumbe mbabaishaji

hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…