Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,097
Una NYUMBA ya siri halafu unalala UCHI? :what:
Kwani nikiwa na nyumba ya siri natakiwa nilale na jeans????????????????????
Una NYUMBA ya siri halafu unalala UCHI? :what:
Wengine tunafanya hivyo kwakua mazingira yanalazimisha sasa we kama unapenda kitoshirikishana si ni bora uombe talaka tu I'll use mwanamke huria?
Bila kufafanua haya mawazo yako ndiyo yanayoweza kufaulu kwa alama za juu kuwekwa kwenye makumbusho ya mafichoni.Hiyo nadharia yako yapaswa kuwekwa kwenye "museum". Hii ni karne nyingine.
Aina ya wanawake wa kuwaogopa kama ukoma kwa kuoa.Hilo labda kwa wamama wa nyumbani.
Asinishirikishe mimi wakati wote watafutaji, si na mimi simshirikishi halafu tuone baada ya miaka 2 nani atakuwa na nyumba ya siri.
Napenda sana maisha ya kutoshirikishana, maana maisha yakushirikishana ndio uleta kamchezo kakuchanga pesa kama tuko kwenye upatu lol.
Aisee,Umefanana na yule wa miaka 700
aliyepatikana china
wamfahamu?:smile-big:
Aina ya wanawake wa kuwaogopa kama ukoma kwa kuoa.
Wanawake akili zao zinawatosha wenyewe , kuanzia yule asiyejua kusoma wala kuandika hadi PhD holder wote ni Sawa tu. Hawaishi kwa kuangalia ceiling yako Bali kwa kulinganisha na wengine midomoni wanaweza wasiwe hivyo lakini mioyoni wanaumia. Sasa ili kuishi kwa uzuri ni vema ajue activities zako kwa 50% tu.
Ili siku ukifanya jambo 75% ajue umejipinda sana na yeye atakupa huduma special kumbe wewe bado una 25% ya kujilinda. Cha msingi ni kuhahakisha mwanamke yuko salama na anapata mahitaji yake muhimu kama mlivyokubaliana na hii ndiyo jukumu Kubwa LA mwanaume hapa duniani
Na Li-roho lako baya, Hapa umeongea sense.Wanawake akili zao zinawatosha wenyewe , kuanzia yule asiyejua kusoma wala kuandika hadi PhD holder wote ni Sawa tu. Hawaishi kwa kuangalia ceiling yako Bali kwa kulinganisha na wengine midomoni wanaweza wasiwe hivyo lakini mioyoni wanaumia. Sasa ili kuishi kwa uzuri ni vema ajue activities zako kwa 50% tu.
Ili siku ukifanya jambo 75% ajue umejipinda sana na yeye atakupa huduma special kumbe wewe bado una 25% ya kujilinda. Cha msingi ni kuhahakisha mwanamke yuko salama na anapata mahitaji yake muhimu kama mlivyokubaliana na hii ndiyo jukumu Kubwa LA mwanaume hapa duniani
Hahahaha, Hapa kuna Ishu.Loh!!!!! aliyekwambia mimi nataka kuolewa na mwanaume m,binafsi nani?????
Mwanaume anaye lala na pesa kwenye bukta, anayeenda kuoga na pesa kwenye taulo huyo ni mwanaume mauzauza?????
Ni mwanamuke mtafutaji sisumbuliwi kichwa na mutu yoyote, over
Hata mimi nimekuelewa hivyo hivyoSimfahamu, ila mimi ni mimi, sifanani na mtu yoyote, kisura, kiumbo, kimtazamo na hata msimamo, mimi ni mimi bhana.
Hata mimi nimekuelewa hivyo hivyo
Hongera sana
teh teh aah
haiendi hivyo. kumbuka hata kama mwanamke anahela na anachangia bajeti ndani lakini siku kama hakuna msosi, nguo za sikukuu, ada au luku imekata ataetolewa macho ni baba.Vp kama mkeo akafanya kama ushaurivyo mwanamme afanye.... Uko tayari kulipokea hili????????? Hii sera inawafaa sana wanaume wasiojiamini. Ila wa aina yangu mke ni kiungo namba moja wa maendeleo yetu.
hiyo kakope ntalipa iwe ni ya mwisho na we mwenyewe unakua na impression kwamba nimefight nimeshindwa. ila ukinijua sana utaona kama sijafight.Naomba nikulze swal, kwann znapoisha hela mnanywea kama piriton? Nakujisemeshasemesha huna nkakope utalpa hapo unanshirikisha iweje? Tabia ya mtu utaijua akiwa na pesa ndo ww.
Ni kweli wamama wa nyumbani inatakiwa hivyo, mtoa mada alitaka kuwasilisha ujumbe kwa waliowengi maana mpaka sasa walioajiliwa au kujiajiri wanawake ni wachache ukilinganisha na wasiojiajiri au kuajiriwa.Hilo labda kwa wamama wa nyumbani.
Asinishirikishe mimi wakati wote watafutaji, si na mimi simshirikishi halafu tuone baada ya miaka 2 nani atakuwa na nyumba ya siri.
Napenda sana maisha ya kutoshirikishana, maana maisha yakushirikishana ndio uleta kamchezo kakuchanga pesa kama tuko kwenye upatu lol.
Hilo labda kwa wamama wa nyumbani.
Asinishirikishe mimi wakati wote watafutaji, si na mimi simshirikishi halafu tuone baada ya miaka 2 nani atakuwa na nyumba ya siri.
Napenda sana maisha ya kutoshirikishana, maana maisha yakushirikishana ndio uleta kamchezo kakuchanga pesa kama tuko kwenye upatu lol.