Usiliamshe dudeee..ishiwa damu ila usiishiwe bando jpili..

wakusoma

JF-Expert Member
Feb 25, 2008
1,084
1,061
Kama ambavyo baba askofu gwajima amekuwa akitueleza yeye ni mpole na mnyenyekevu ila once ukimchokoza(kuliamsha dude) basi atakutwanga kote kote.

Stay tuned..YouTube channel ya kanisa la ufufuo na uzima itawaka moto jpili hi i twende na gwajima basi.

Amen.
 
FB_IMG_1495545022716.jpg
 
Dude lishatoa kipeperushii..
[HASHTAG]#siku[/HASHTAG] tano..left dude litanuruma..
 
Sawa baba ila Leonard Mapuli namfahamu O' level alikua nyuma yangu mwaka mmoja na alimaliza akapata dvn 3 akisoma arts. Mwenzie cjui.
 
Siku hiyo ya jumapili nafikiri ubungo itajaa zaidi ya mikutano ya vyama nahisi
 
Kama ambavyo baba askofu gwajima ambavyo amekuwa akitueleza yeye ni mpole nanyenyekevu ila once ukimchokoza(kuliamsha dude) basi atakutwanga kote kote.

Stay tuned..YouTube channel ya kanisa la ufufuo na uzima itawaka moto jpili hi i twende na gwajima basi.

Amen.
Nani apoteze MB zake kumuangalia Shetani? Mtu anayetumia Madhabahu kuongea maneno Najisi kiasi hicho.? Mla madawa ya kulevya huyo. Shetani mwisho wake ni mfupi.
 
Nani apoteze MB zake kumuangalia Shetani? Mtu anayetumia Madhabahu kuongea maneno Najisi kiasi hicho.? Mla madawa ya kulevya huyo. Shetani mwisho wake ni mfupi.
kawaida ukiwa upande hasi laxma ubwatuke..kuna watakaooteza v MB tu hata nauli na lunch kwa sababu hio..c unaujua ule msemo wa kisasa..usilazimishe tufananeeeee
 
Domo aliomba msamaha bila kupenda naona Bashite haukumuunguza vizuri kaamua kukiwasha upya
 
Back
Top Bottom