Usili wa kilimo daraja la pili

Usili wa kilimo daraja la pili

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
Nimeitwa kufanya usaili kwa majadiliano kwa kada ya afisa kilimo daraja la pili. najua humu pana wazoefu upande wa kilimo kwa kupitia ktk huo usaili. nijikite maeneo gani kujiandaa sina uzoefu na usaili.
 
naombeni msaada mniangalizie jina la LUKIKO category za afisa tarafa,kilimo na mifugo.
pamoja waungwana.
 
Andika jina lote lukiko ukiandika halitokei hebu andika lote tukusaidie just now
 
Back
Top Bottom