Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Watu wengi mnakoseaa sana.. kwenye interview unakubali kujadili expectations zako za mshahara na Hiring Manager, ukitaja mshahara mkubwa ujue imekula kwako.
Line Manager hatapenda umzidi, hata mimi lazima nikupige chini kama naona utanizidi mshahara.
Tafuta njia mshahara ujadili na HR.. hata barua ya mshahara Line Manager hatakiwi kuiona..
Kila la kheri watafuta kazi kama.mimi.
Line Manager hatapenda umzidi, hata mimi lazima nikupige chini kama naona utanizidi mshahara.
Tafuta njia mshahara ujadili na HR.. hata barua ya mshahara Line Manager hatakiwi kuiona..
Kila la kheri watafuta kazi kama.mimi.