Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,640
Kama uko na mpenzi [emoji1300] ambaye ana tabia ya kutokupokea simu zako [emoji390] au kutojibu text [emoji987] yaani unamtumia text asubuhi anakujibu kesho, ama unampigia saa moja asubuhi hapokei anakuja kukupigia baada ya masaa kumi, basi na wewe usimpigie simu wala kumtext kwa siku kumi!!
Kwa sababu ameamua kukuchezea michezo ya kitoto, basi mpe siku kumi za kuwa mkubwa. Wewe nenda fanya mishe zako, katafute pesa [emoji384][emoji387][emoji386], jiweke bize tafuta hela then baada ya siku kumi ndio uje kumtext!
Ukiona amemyuti na wewe myuti [emoji2958][emoji2958]. Mambo ya kufanya ni mengi usikubali kuchezewa michezo ya kitoto [emoji1348][emoji1348]! -
Msubiri akue au tafuta matured spouse muende sawa [emoji41]
Hayupo peke yake kwanini akuchezee??
Usikubali kuwa cheap kwa mtu asiyejali hisia zako. Move on!!
Nimesikika huko nyuma??
[emoji41] Akizingua sana tukutane Mikocheni B Mlima wa Moto upepo wa kisulisuli unapovuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa sababu ameamua kukuchezea michezo ya kitoto, basi mpe siku kumi za kuwa mkubwa. Wewe nenda fanya mishe zako, katafute pesa [emoji384][emoji387][emoji386], jiweke bize tafuta hela then baada ya siku kumi ndio uje kumtext!
Ukiona amemyuti na wewe myuti [emoji2958][emoji2958]. Mambo ya kufanya ni mengi usikubali kuchezewa michezo ya kitoto [emoji1348][emoji1348]! -
Msubiri akue au tafuta matured spouse muende sawa [emoji41]
Hayupo peke yake kwanini akuchezee??
Usikubali kuwa cheap kwa mtu asiyejali hisia zako. Move on!!
Nimesikika huko nyuma??
[emoji41] Akizingua sana tukutane Mikocheni B Mlima wa Moto upepo wa kisulisuli unapovuma