Henry Temu
Member
- Aug 11, 2012
- 85
- 22
Kuna watu wamechaguliwa chuo na kwenye watu waliokosa chuo wapo,so usishangae ukakosa jina lako kwa waliokosa chuo na waliopata chuo!
ITATOKEA
ITATOKEA
we acha uongo jaribu kua unafikiri kwanza hakuna mtu aliyekua amechaguliwa na jina lipo kwa wasiochaguliwa hata mmoja
hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania, kila kitu kinawezekana.
unauhakika? Rafiki yangu imemtokea
msipate tabu nawapa mfano hai kuna jamaa anaitwa hussen mebu amechaguliwa udom coz ya medicine na ukienda kwa waliokosa vyuo pia yupo. Usibishe jamaa yuko right
we acha uongo jaribu kua unafikiri kwanza hakuna mtu aliyekua amechaguliwa na jina lipo kwa wasiochaguliwa hata mmoja
nauhakika! Kachaguliwa chuo gan?
Hata wewe umemshutukia hee!
UDOM jina lake Mosses nanyaro[/QUOT
iv TCU wametoa waliochaguliwa!?
Hata wewe umemshutukia hee!
Kuna watu wamechaguliwa chuo na kwenye watu waliokosa chuo wapo,so usishangae ukakosa jina lako kwa waliokosa chuo na waliopata chuo!
ITATOKEA
UDOM jina lake Mosses nanyaro[/QUOT
iv TCU wametoa waliochaguliwa!?
bado ila za vyuo mbalimbali wametoa
sana tu mkuu awa jamaa kuna kitu hawajaelewa
Mbona ni jambo la kawaida kwa unqualified kukosa
bado ila za vyuo mbalimbali wametoa
mi nadhani mkuu kama hawa TCU wametoa wasiochaguliwa basi tungoje waliochaguliwa maana ndio taasisi ya vyuo vikuu na si chuo kimoja kimoja nawasilisha mkuu
Asante kwa hilo wangu