Usiingilie malumbano ya watu kama hujui chanzo, utabeba ugomvi usiokuhusu

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Habari zenu Wakuu,

Kama kuna malumbano (reply) umeiona na haujui malumbano yalipoanzia basi ni vyema ukakaa kimya na kupotezea.

Hapa JF kuna watu wanaingilia maongezi yasiowahusu na mwisho wa siku wanabeba maugomvi yasiokuwa yao.

ACHA SHOBO MKUU WANGU.

PEACE
 
Habari zenu Wakuu,

Kama kuna malumbano (reply) umeiona na haujui malumbano yalipoanzia basi ni vyema ukakaa kimya na kupotezea.

Hapa JF kuna watu wanaingilia maongezi yasiowahusu na mwisho wa siku wanabeba maugomvi yasiokuwa yao.

ACHA SHOBO MKUU WANGU.

PEACE
Sahihi kuna mmoja Jana aliingilia Jambo lisilo mhusu nikamjumuisha pumbavu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom