Naomba niwaulize nyie
wanaume, kwani mkizaa na wanawake mkaachana kila mmoja akapata ndoa
yake... JE, HUWA MNAENDELEZA KUNJUNJANA NA MAMA MTOTO AMBAE MLIACHANA?
Si lazima ila mara nyingi, nyinyi mkikaangalia Kaimage mlikounda na mtu mnamkumbuka sana na mtataka kukumbushia kilichomuunda mtoto au hata mazungumzo tu ya kawaida ambayo nayo hupelekea katika kufanyika tendo la ndoa vile vile.
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
Si lazima ila mara nyingi, nyinyi mkikaangalia Kaimage mlikounda na mtu mnamkumbuka sana na mtataka kukumbushia kilichomuunda mtoto au hata mazungumzo tu ya kawaida ambayo nayo hupelekea katika kufanyika tendo la ndoa vile vile.
Oa mwenye mtoto at your own risk. Bado simshauri mtu kuoa mdada mwenye mtoto unless mzazi mwenzake ametangulia mbele ya haki au wote mnaokutana mna watoto.
1.Ana mtoto na mtu mwingine
2. Amekaa single muda mrefu
3. Ameishawahi kua barmaid
4. Ni white au ngozi nyeupe
5.Ni mzuri kupitia kiasi
6. Ni model
7.Nk