Usichokijua kuhusu unayoyapitia kwasasa

Usichokijua kuhusu unayoyapitia kwasasa

Fakyuol

Senior Member
Joined
Nov 26, 2023
Posts
153
Reaction score
327
Baiolojia inasema....

wakati wa tendo la ndoa mwanaume hufanikiwa kumwaga takribani million 200 mpaka 300 ya sperms ndani ya UKE wa mwanamke!

Kisha baada ya hapo Sperms hizo huanza kuogelea kupitia njia iliyo special kuelekea lilipo yai la mwanamke!

Baiolojia inaongezea inasema kwamba

Kati ya hizo sperms Million na ushee....ni sperms 300 mpaka 500 tu ndiyo tufanikiwa kufika mahali lilipo kuwa likisubiri yai.

(Sperms Nyingine zote huchokea njiani.. kwasabab ya ugumu wa mbio kwani hizi huwa ni Mbio ngumu haijwahi tokea!)

Na kati ya hizo zilizo fanikiwa kufika ni moja tu.... ambayo huibuka MSHINDI ni Moja tu ambayo hufanikiwa kupenya kwenye YAI na kusababisha URUTUBISHAJI kutokea!

Na huyo MSHINDI mmoja....ni wewe!! Ni wewe hapo unayesoma UZI huu muda huu!!

Hivi umewahi kujiuliza? Kuhusu hili kama uliweza kufukuzana mbio ukiwa huna macho yako wala miguu yako na bado ukaibuka MSHINDI!

Kama uliweza kushindana bila ELIMU yako na bado ukaibuka MSHINDI!

Uliweza kushindana bila CHETI chako na bado UKASHINDA ukakimbia bila msaada kutoka nje na bado UKASHINDA. Ni kitu gani kinakufanya uhisi kama hutoshinda kwasasa?

Sasa hivi..una macho, miguu na mikono yote miwili una maarifa ya kutosha juu ya NENO la MUNGU

Una MIPANGO

Una MAONO na NDOTO

MPENDWA hukukata tamaa toka siku ya KWANZA hivyo HUTAKIWI kukata tamaa sasa. Kukata tamaa kwa sasa..ni mkosea sana MUUMBA WAKO

Haijalishi ni kitu gani unapitia kwasasa!

Haijalishi ni magumu mangapi unapambana nayo kwasasa! Yachukulie yote kama CHANGAMOTO na daima ukumbuke kuwa ulikuwa MSHINDI tangia tumboni wewe ni MSHINDI

Hivyo unakila sababu za kuibuka MSHINDI tena kwa sababu umeimalika zaidi kuliko ulivyo kuwa tumbon na utayashinda yote unayo yapitia kwasasa katika jina la YESU!
 
MAN IS GOD WHO IS SLEEP
GOD IS MAN WHO IS AWAKENING
SO NOW I'M A GOD
KAZI YANGU SIO KUWAAMSHA WALIOKUBALI KULALA BALI NI KUWAAMSHA WANAOTAKA KUAMKA UKIJIONA UMECHAGUA KUENDELEA KULALA KWENYE SAFARI KUUJUA UKWELI KAA KMYA USITIE NENO WALE WANAOTAKA KUAMKA NA KUJITAMBUA WAMETOKA WAP.WAPO WAPI.NA WANA KWENDA WAPI NDIO WATIE NENO HAPA
POINT YANGU NI DINI ZILILETWA KUMTIA MWANADAMU KATIKA MITETEMO YA CHINI AWE NI MWENYE HOFU NA MASHAKA NA ASIWEZE KUJIJUA KIUNDANI YEYE NI NANI NA ANA NGUVU TU ILIYONDANI YAKE ITAKAYO MUONGOZA KATIKA SAFARI YAKE YA MAISHA YA HAPA DUNIANI NA HAKUNA NGUVU /MSAADA UTAKAO TOKA NJE KUKUOKOA NI KAMA VILE MLEVI UKIMUAMBIA ACHA POMBE HATA UMPELEKE AKAOMBEWE NA MASHEHE NA WACHUNGAJI HATOACHA ILA AKIAMUA KUTOKA NDANI YAKE SASA AICHUKIE POMBE ATAACHA MALA MOJA SO AMBAYE HAJATAKA KUUBALI UAFRIKA NA ASILI YAKE HATUWEZI KUMBADLISHA SISI
 
Back
Top Bottom