INAENDELEA......
PART 2.
GHUMAN CLONING(WATU COPY).
Wapo watu wengi sana wanaosemekana kuwa
ni copy mimi nitaelezea wachache ili
kupunguza mijadala maa a hakuna uthibitishi
kamili uliothibitisha hili jambo,kwamaana lipo
chini ya mashirika ya siri ILLUMINAT &
FREEMASONS
1.mwana mziki EMINEM.
najua watu wengi mna mfahamu uyu, ukweli
nikwamba uyu eminem tunae muona sasa
inasemekana sio halisi ,eminem halisi alisha
kufaga ila waliweka siri kuhusu kifo chake
kisha waka mtengeneza mtu copy ambe
anafanana kila kitu na eminem...jina EMINEM
alilifanua kama "Every Mamals Is Nice except
me" akimaanisha kwamba "kila kiumbe hai ni
kizuri kasoro yeye". Eminem halisi
inasemekana alisha kufaga toka mwaka
2006 ,kama unakumbuka mwaka 2006 ili tokea
ishu kuhusu kuwa eminem amenusurika kifo
baada ya kuji overdosse na alikuwa ICU ,ukwweli
ni kwamba eminem baada ya kuji overdose
alikufa lakini kutokana na umuhimu wake na
kwa ushawishi wake mkubwa ikabidi wafiche siri juu ya kifo chake kisha wakachukua cell na
jenis(DNA) zake nakutenge neza eminem
mwingine huyu tunae mfahamu..na kama
unakumbuka vizuri mwaka 2006 baada ya
kupona maisha ya eminem yali badilika..mwili
wake uli badilika ukichukua picha ya eminem
wa miaka ya 2000 uki mlinganisha na wa
miaka 2010 utagundua ,macho yake yame
badilika kutoka blue kuwa
brown,sura ,pua,mtindo wa nywele na hata
kichwa ni tofauti.
tokea apo ali anza kuimba nyimbo zinazo husu
ushetani, na mara nying amenukuriwa sehemu
tofauti akisema "anafikiria kuhusu kifo chake
kila usiku anapo enda kulala"
pia zipo nyimbo zake ambazo amezungumzia
kuhusu yeye sio binadamu wa kawaida.
mfano, nyimbo ya "CINDERELLA" ikiwa na
maana "huwezo wake hauja tambulika" kwenye
hiyo nyimbo kuna sehemu amesema "'send da
feller shady done come to wrap the game up,in
acellophane raise hell from hell he come,but
didnt come to bore u with the cinderela
story.nor did he come to do the same" akimanisha "wamemtuma mtu jeurimwongo kuja
kukamilisha mchezo,ndani ya plastic
amezaliwa kutoka matesoni/jehanam na
kuja,lakini hajafika kukubugudhi kwa hadithi za
sinderela,hapana amekuja kuyafanya yale....|
View attachment 1204139View attachment 1204140View attachment 1204142