Kuna ambo moja ambalo nimeona watu wengi wanalifanya
Kuanzisha biashara kwa sababu wana mtaji.
Unakuta mtu anaazisha biashara ya mtaji wa milioni 100 kwa sababu ana milioni 200 na wakati angeweza kuanzisha biashara ya milioni 5 na ikampa faida maradufu.
Kuna kanuni tatu za msingi ambazo naamini zinafaa katika uwekezaji:
Hizi kanuni ni muhimu sana kwani unapozifuara kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa katika biashara
- Wekeza kiasi ambacho uko tayari kupoteza iwapo hasara itatokea(Invest only what you are willing to put to risk)
- Wekeza kwa watu na sio vitu(Invest in people and not things
- Wekeza kila unachokipenda na kukiamini na sio vutio la faida kubwa(Invest in what you are passionate about and not what promises big return)
Karibu katika mjadala huu.
Namba sita sijaelewaKuna ambo moja ambalo nimeona watu wengi wanalifanya
Kuanzisha biashara kwa sababu wana mtaji.
Unakuta mtu anaazisha biashara ya mtaji wa milioni 100 kwa sababu ana milioni 200 na wakati angeweza kuanzisha biashara ya milioni 5 na ikampa faida maradufu.
Kuna kanuni tatu za msingi ambazo naamini zinafaa katika uwekezaji:
Hizi kanuni ni muhimu sana kwani unapozifuara kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa katika biashara
- Wekeza kiasi ambacho uko tayari kupoteza iwapo hasara itatokea(Invest only what you are willing to put to risk)
- Wekeza kwa watu na sio vitu(Invest in people and not things
- Wekeza kila unachokipenda na kukiamini na sio vutio la faida kubwa(Invest in what you are passionate about and not what promises big return)
Karibu katika mjadala huu.
Kuna tofauti ya kuwa na mtaji mkubwa na kuanza biashara ya mtaji mkubwa.Mfano.Unaweza kuwa na Milioni 10 ukaanzisha biashara inahitaji mtaji wa 9.5 Milioni hio sio sawa ila unaweza ansisha business ya mtaji wa 1 or 2 milion na faida ya laki tano kisha uka iscale up biashara yakeMkuu biashara nyingi zinahitaji mtaji wa kutosha ili upate faida ndogo ndogo ila kama mtaji ni mkubwa unatengeza faida kubwa kwa kipindi kwa kifupi tusifarijiane kwa kuwa tuna uwezo wa kufanya biashara huku tukiwa na mtaji Mdogo...Mwenye mtaji mkubwa anasoma biashara hata kwa muda mrefu ili asipoteze tofauti na Mwenye mtaji Mdogo kwa kuwa hapo hapo ndio anaangalia chakula...
Hoja zote ziko sahihiNaungana na wewe kwa baadhi ya hoja
Hoja no 2 sija elewa vizuriHoja zote ziko sahihi
Mkuu zipo biashara zinahitaji mtaji mkubwa na ukianza unaenda vizuri kutokua na mtaji ni tatizo naweza kukupa mifano miwili tuu ukinunua pick up ukaiongeza na kuwa na uwezo wa kubeba watalii kwa gharama za kununua pick up SA mpaka Tanzania 65,000,000 na kuliongeza kwa wasomali kule ni kama 17,000,000 kila kitu wanaweka kasoro Fridge na Antenna hiyo hela inarudi kwa msimu mmoja tuu wa utalii...Nikiwa na 60,000,000 nabeba pombe Messina na kuja kuuza Tanzania na faida napata kwa kutumia truck langu kwa hiyo sijakuelewa wewe unataka nibebe box chache kwa kuogopa risk wakati kuna wenzio waliokuambia kuhusu hiyo biashara wana truck tano na tela zake wanapakia..Kuna tofauti ya kuwa na mtaji mkubwa na kuanza biashara ya mtaji mkubwa.Mfano.Unaweza kuwa na Milioni 10 ukaanzisha biashara inahitaji mtaji wa 9.5 Milioni hio sio sawa ila unaweza ansisha business ya mtaji wa 1 or 2 milion na faida ya laki tano kisha uka iscale up biashara yake
Ameelezea vzrHoja no 2 sija elewa vizuri
Yaani alichomaanisha pale ni kwamba Kama akaunti yako ina 70000000 au 60000000 tu,sio vema kuifanya hiyo biashara na badala yake tafuta biashara nyingne ya mtaji mdogo ambayo pia itakuletea faida nzuri tu.Mkuu zipo biashara zinahitaji mtaji mkubwa na ukianza unaenda vizuri kutokua na mtaji ni tatizo naweza kukupa mifano miwili tuu ukinunua pick up ukaiongeza na kuwa na uwezo wa kubeba watalii kwa gharama za kununua pick up SA mpaka Tanzania 65,000,000 na kuliongeza kwa wasomali kule ni kama 17,000,000 kila kitu wanaweka kasoro Fridge na Antenna hiyo hela inarudi kwa msimu mmoja tuu wa utalii...Nikiwa na 60,000,000 nabeba pombe Messina na kuja kuuza Tanzania na faida napata kwa kutumia truck langu kwa hiyo sijakuelewa wewe unataka nibebe box chache kwa kuogopa risk wakati kuna wenzio waliokuambia kuhusu hiyo biashara wana truck tano na tela zake wanapakia..
Nipo kwenye biashara ndio maana nazungumzia feasibility study ndio muhimu sio kuogopa risk za kutaka kutumia mtaji Mdogo wakati una mtaji wa kufanya hiyo biashara...nimewatolea mifano miwili ambayo inahitaji hiyo utaacha uanze biashara ya 5m?Yaani alichomaanisha pale ni kwamba Kama akaunti yako ina 70000000 au 60000000 tu,sio vema kuifanya hiyo biashara na badala yake tafuta biashara nyingne ya mtaji mdogo ambayo pia itakuletea faida nzuri tu.
Lakini Kama akaunti yako ina milioni 300 sio mbaya unaweza kuifanya hyo biashara yako.
Hata Kama mkuu,biashara sio kitu chenye guarantee ya 100%.Nipo kwenye biashara ndio maana nazungumzia feasibility study ndio muhimu sio kuogopa risk za kutaka kutumia mtaji Mdogo wakati una mtaji wa kufanya hiyo biashara...nimewatolea mifano miwili ambayo inahitaji hiyo utaacha uanze biashara ya 5m?
Wafanyabiashara wakubwa wanakua na mikopo mikubwa kwa sababu ya kutokuagopa risk na ndio maana kwenye biashara wengi wasio na Elimu wanafanikiwa kwa sababu hawapigi hesabu za risk sana kama msomi anapiga hesabu akiendelea na kuangalia risk katika kufanya biashara hiyo ishakata na ukishatengeneza goodwill kwenye Kampuni yako kinachofuata ni kupewa mzigo bila kulipa hela tena wasambazaji mzigo ndio wanashindana kushusha bei kwako ili wewe uuze...Hata Kama mkuu,biashara sio kitu chenye guarantee ya 100%.
Kwa mfano mtu Kama bakhresa ana uzoefu wa biashara ya meli na boats.
Lakini hawezi kuingiza pesa zake zote,lazima Kuna pesa zingine atabakisha for security na mambo mengine.
Hapana Nataka usifikiri tu kwamba kama una milioni 65 basi utafute biashara inayohitaji mtaji huo ili ujenge faida.La hasha.Kuna biashara nyingi ambazo zinahitaji just robo ya mtaji huo ambazo unaweza kufanya.Look for your passionMkuu zipo biashara zinahitaji mtaji mkubwa na ukianza unaenda vizuri kutokua na mtaji ni tatizo naweza kukupa mifano miwili tuu ukinunua pick up ukaiongeza na kuwa na uwezo wa kubeba watalii kwa gharama za kununua pick up SA mpaka Tanzania 65,000,000 na kuliongeza kwa wasomali kule ni kama 17,000,000 kila kitu wanaweka kasoro Fridge na Antenna hiyo hela inarudi kwa msimu mmoja tuu wa utalii...Nikiwa na 60,000,000 nabeba pombe Messina na kuja kuuza Tanzania na faida napata kwa kutumia truck langu kwa hiyo sijakuelewa wewe unataka nibebe box chache kwa kuogopa risk wakati kuna wenzio waliokuambia kuhusu hiyo biashara wana truck tano na tela zake wanapakia..