Kweli kazi si kupenda bali kazi ni kumpenda akupendaye....... kaza msuli kijana labda utafanikiwa cha muhimu uupate ukweli ili hata unapoamua kumwacha uwe na sababu ambazo zinaeleweka vinginevyo utaonekana haukua serious.
Kila la kheri
Eiyer ma swt bro are you real serious hapo kwenye red?Sijasoma thread nzima lakini dogo nataka nikuambie jambo moja.Huyo g/friend wako lazima mtaachana tu.Unapoanza uhusiano na mwanamke mwenye umri chini ya miaka 25 lazima mtakuja kuachana tu!
Naamini hii yaweza kunisaidia....... jambo ambalo nimejifunza kwa mwenzangu huyu ni kuwa anapoona tatizo kwangu badala ya kuniambia utakuta anaenda kumwambia mtu mwingine. kuna maneno ambayo ninaongea nae tu lakini nashangaa nayakuta kwa watu wengine eti alienda kuomba ushauri. Nimejaribu kumwambia kua km anaona tatizo kwangu ni heri aniambie mimi kwanza kabla ya kwenda kumwambia mwingine so najikuta hata tukioana kuna mambo ya ndani yatakua yanatoka nje.
Nilipomuuliza kuhusu huyo jamaa mlinzi mchumba wangu aliniambia kuwa ni kweli jamaa aliwahi kumtokea lakini yeye binti hakumkubalia ila kinachonichanganya ni kuwa jamaa mwenyewe nafahamiana nae vizuri na ktk hali ya kumdadisi jamaa amekataa kuwa hajawahi kumtokea huyo binti na hapa ndipo ninapopata wasiwasi na ninaona kuna kitu kimejificha ambacho sikijui....
Nakushukuru kwa hizo hints
Hana lolote, sababu ni hiyo hapo red. Hakupendi ila anapenda unavyompeleka saluni na kumnunulia brekiberi.
Kaka kimbia hapo, sio kwako shauri yako.
dada yangu mpendwa gfsonwin yan kila nisomapo comment zako huwa nafarijika sana. mtoa mada je umemsoma huyu mamy? ushauri wake watosha bila nyongeza. . .
ma lito bro nakupendaje jamani?
Love you more my dada.., miss you..!!!
remember that always sis is there for you..........honey.
mdogo wanu sijui mwanangu nmequote hii post makusudi na naomba niiwekee bold post yote kuonyesha msisitizo wa huu ushauri wangu kwako.
kwa hili la kutoa siri huyu bini hafai kabisa. kwa maelezo yako ya yenye kuonyesha nidham ya hali ya juu naomba nikwambie mapungufu ya huyo binti:
- umri its not a big deal so long as ni mentally matured.
-ni mtu asiyekuwa na kifua so tegemea kuyakuta ya chumbani sebuleni.-
-ni binti asiyekuwa na upendo wa dhati kabisa kwako ni mpeda hela
-ni binti atakaye kulipia kisasi siku ukikosea
-ni binti ambaye akili yake bado haijakomaa.
-hana nidham wala heshima hata kidogo kwako
kutokana na mapungufu yote haya hana quality yeyote ya kuwa mke manake sifa za mke ni hizi hapa
-awe msiri na muadilifu
-asiwe mlipa kisasi
-awe amekomaa na kupevuka kiakili
-awe na upendo wa dhati na heshima kwako.
-awe mvumilivu
hizi ndizo tabia za wamama wote unaowaona wako kwenye ndoa hadi leo. so kama hana huyu mchumba wako usijaribu ma dear brother