sabosabo
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 2,050
- 5,059
Hata hicho kidogo alichoandika anaweza akashindwa kabisa!Hahahahaha atakuwa zuzu kabisa
Hata hicho kidogo alichoandika anaweza akashindwa kabisa!Hahahahaha atakuwa zuzu kabisa
Kabisa mkuuLimbwata lake limekizi vigezo mkuu, tena lina vibali na baraka zote.
Ndio hilo la kwangu Mkuu.Nimeliona limbwata lako Mkuu
Hahahaaaa. Kaka unaliuza limbwata langu ee.Ahsante dada sina cha kuongeza hapo, wanawake igeni aina hii ya limbwata kwa mustakabari wa ndoa zenu
Leo vipi umeghair kwenda?Hahahaaaa. Kaka naliuza limbwata langu ee.
Lakini umeng'amua nn nilikuwa natakaMleta mada wewe umefanyiwa limbwata la kwenye vidole ndio maana uandishi wako umetawaliwa na usingizi.
Andika kwa kiswahili basi tuweze kuelewana kwanza.nazani bujibuji atatoa ushuda ..Mimi nauliza tu enyi mama zetu .Dada zetu .wake zetu kwann munaangaika kuweka rimbwata ?????
nazani bujibuji atatoa ushuda ..Mimi nauliza tu enyi mama zetu .Dada zetu .wake zetu kwann munaangaika kuweka rimbwata ?????
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi na sio "mradi mmeelewa."Lakini umeng'amua nn nilikuwa nataka