Ushuhuda.Kweli dawa za kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume zipozipo

Gatekalii

JF-Expert Member
Nov 5, 2016
286
412
Hapo mwanzoni ilinitesa sana, nilikuwa nikienda chini ya dakika 3 nishamaliza. Nilijaribu kwenda kwa wataalamu wengi sana. Lkn walio wengi waliishia kuniambia nile sana matunda pamoja na mboga za majani, wengine waliniambia nifanye mazoezi sana lkn pia kuna walioniambia ninamsongo wa mawazo.
Nilikula vitu vyote hivyo lkn wapi! Fanya sana mazoezi lkn wapi?
Dharau zikaanza ndani ya familia yangu toka kwa wife, sababu ilikuwa simfikishi kileleni eti.
Hakuna wakati niliokuwa najisikia vibaya kama kuambiwa na wife kuwa sijamfikisha..

Ndugu zangu kweli nilikata tamaa, ilifikia hatua nikawa naogopa kuomba mchezo kwasababu tu najua sitamfikisha.

Kuna siku moja ambayo sitaisahau kwa sababu ndio chanzo cha tatizo langu kuisha.

Nakumbuka nilimsindikiza dogo kuchukua dawa ya kusafisha uzazi wa mke wake kwani alikuwa hazai.
Yule mzee akasema hii dawa inafanya kazi nyingi sana, husafisha uzazi, husafisha damu, hutoa gas tumboni na pia humfanya mwanaume awe lijali kamili.
Kwakuwa nilikua naona aibu kuweka wazi tatizo langu ikabidi nimuombe kwa kisingizio cha tumbo kuwa na gas.
Wakati tunarudi nikaitumia kwa kuchanganya na maji.

Kilichotokea kama baada ya nusu saa nilianza kuhisi tumbo kuchemka, mwili wote ukavuja jasho.
Sikuhiyo nilivyorudi home baada ya kuoga nilihisi wepesi flani wa mwili. Pia nilikuwa na hisia sana na waifu kitu ambacho haikuwa kawaida yangu.
Nilipofanya mapenzi sikuhiyo waifu badala ya kukasirika alinisifia kwamba ungekuwa unanifanya hivi kila siku ningekupenda sana.
Baada ya kuambiwa hivyo nilishituka na ndipo nilipokumbuka kuhusu dawa ya mchana.

Kesho yake nikarudi kwa mzee kufuata dawa nyingine. Nilitumia kwa mda wa siku saba
Namshukuru Mungu nimepona, wife anaenjoy now na naweza dumu kwenye game zaidi ya nusu saa bila ku ejaculate.
Kama unatatizo kama hilo usichoke kutafuta tiba.
 
Chakwanza me napga dk 2-4 ila cha pili dk 30-40 cha tatu kinawahi afu cha nne kinachelewa km cha tatu ila had kukifikia cha pili mwenzangu anahatitriki vinavyofata ni kulalamika tu VP me naitaji dawa coz cha kwanza majanga au mzma
 
Back
Top Bottom