stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Ndiyo huo ukweli Watu hawataki kuuona. Wanafikiri Ushoga upo USA na UK na unasubiri turuhusu ndiyo uje.
Hata Uganda na Zimbabwe upo sana tu na sanasana utakwenda chini ya uvungu na huko ndiyo kubaya.
Nina uhakika wataingiza Wabunge kibao ili wabadili sheria na hata kumuondoa Museven.
Huwezi kupambana na shetani kama ndani yako hauna aliye mkuu kuliko shetani...
Ushoga ni moja ya ibada za kishetani ndio maana waumini wa rituals hii huwezi kuwaaminisha kinyume na hapo...
Ku-deal na mambo ya urembo sidhani kama ni ushoga. Deo usivunjike moyo.
Kila mwanadam anataman kuwa na mtoto huwa najiuliza hivi hao mashoga wenyewe hawataman kuwa na watoto na km wanataman hawawaz watawapataje km wanaharibiwa kias hicho
Huwezi kupambana na shetani kama ndani yako hauna aliye mkuu kuliko shetani...
Ushoga ni moja ya ibada za kishetani ndio maana waumini wa rituals hii huwezi kuwaaminisha kinyume na hapo...
Sikonge umeongea ukweli ambao wengi hawataki kuusikia.... hiyo chungu kumeza lakini ndio hali halisi....hivi vitu vinafanyika sana...tena sana...si saudia..si ulaya..si africa..ila tu kwa kificho kwa baadhi ya sehemu...tunaweza sema suala hili limefanywa kinafiki...watu wanapinga (wapo wa nia ya dhati na wengine wanafiki)
Mkuu, ulianza vizuri ila na wewe umepotea. Ushoga umeanza miaka mingi sana kama wengine wanavyosema au Mleta thread alivyoandika kuwa ni Sodoma na Gomora. Nina shangaa sasa kusema hayo ni ya USA, kwani hii Sodoma na Gomora ilikuwa USA? Hapana.
Ushoga umekuwepo kwa miaka mingi sana na wengine wanadai ndiyo sababu haswa ya Shetani kufukuzwa kwenye bustani ya Eden/Peponi kwani kabla Eva hajatengenezwa na Mungu kuwa Mke wa Adam, hakukuwa na Mwanamke na Shetani alikuwa kashauanza huu mchezo na Malaika wenzake (Mhhh!?!?!?!). Haka ka mchezo ni kamchezo kachafu na kazee kuliko dunia hii.
Ila ni MASHOGA hawa hawa tunaowalaani leo ndiyo wameibadilisha dunia na kwa sasa wanazidi kufungua makucha kwa kuishika dunia hii. Kumbuka ni wao wamemuweka madarakani Obama. Zamani walikuwa ni Wayahudi na Media zao/Fedha zao ndiyo walikuwa na nguvu sana kwenye Serikali ya USA. Ila mnakumbuka vitisho na kila aina ya njama zilifanywa na Wayahudi(PM Netanyahu) ili Obama wampige chini ila Obama akasema atatetea haki za Mashoga, na akashinda. Jamaa ni wengi sana na wanazidi kuwa wengi.
Duniani idadi ya watu imekuwa kubwa sana, lazima tupungue tutake tusitake. Wachina wanatuuwa na product zao hatari, wenyewe tunauwana na product hatari, Fukushima na Charnobil nazo zinatukaanga, AIDS, Malaria, nk. Vita kwa sasa zimepungua na idadi ya Binadamu imeongezeka na dawa pekee ni USHOGA. Watu mngelijua hali imefikia wapi, basi tungelikaa tu nyumbani na kusali. Kupigana na hii kitu ni kwamba tumeshachelewa. USHOGA unatawala tayari dunia tupende tusipende.
Mtu unaweza kuja na kila aina ya matusi, ila wenzio watakuja na DOLA zao...SIKONGE umenifungua macho!
As a mother hii kitu inaniumiza kweli...na wanetu hawa wa kiume... Mungu awaipushe wanetu....Hizi habari huwa zinanitekenya ubongo sana nikiangalia hawa watoto wakiume nlionao!nawaombea sana nahuwa aisee kama Mungu yupo anilindie tu jamani
Sound gud km unaukubali vile?
Kwa hiyo na wewe una support ushoga au?
Sound gud km unaukubali vile?
Mbona hata TZ ushoga upo, mashoga wengi na wanajulikana? Kama kweli tunapinga ushoga mbona hatua hazichukuliwi? Nenda Sinza, kinondoni wamejaa mashoga tupu hasa kwenye mabar maarufu-Corner Bar, Meeda, Rombo nk!
Huwezi kupambana na shetani kama ndani yako hauna aliye mkuu kuliko shetani...
Ushoga ni moja ya ibada za kishetani ndio maana waumini wa rituals hii huwezi kuwaaminisha kinyume na hapo...
Sikonge umeongea ukweli ambao wengi hawataki kuusikia.... hiyo chungu kumeza lakini ndio hali halisi....hivi vitu vinafanyika sana...tena sana...si saudia..si ulaya..si africa..ila tu kwa kificho kwa baadhi ya sehemu...tunaweza sema suala hili limefanywa kinafiki...watu wanapinga (wapo wa nia ya dhati na wengine wanafiki)