Ushirikina na shule za kanisa....

Ushirikina na shule za kanisa....

Status
Not open for further replies.
Joined
Jan 2, 2013
Posts
16
Reaction score
3
Katika hali isiyouwa ya kawaia au kuaminika masikioni mwa walio wengi ni kuhusu hii dini ya jamii ya siri fremasons ambayo kwa siku za karibuni imekuwa ikitajwa sana na midomo ya watz wengi.


Hivi karibuni kuna tukio lililotokea katika shule ya st marigoreti iliyopo mjini moshi inayomlikiwa na na watawa wa shirika la bibi yetu wa huruma jimbo katoliki la moshi kuwa kuna mwanafunzi alifariki katika mazingira ya kutatansha


picha ilivyokuwa


mwanafunzi huyo mtawa aliyekuwa akijiendeleza kimasomo alifariki ghafla ndani ya bweni bila kuwepo kwa sababu zozote za kifo chake hicho ila hapo awali wanafnzi walishalalaika kuwa kuna vitu visivyofahamika vinavyoonekana usiku na hata kufikia hatua ya kuwanyonga wakiwa usingizini ni pamoja na mwanafunzi huyo aliyefariki imeelezwa.


Kwa mujibu wa taarifa za wanafunzi waliopo likizo katik maeneo mbali mbali hapa jijini dar walisema wamekuwa akitoa taarifa kwa mkuu wa shule(ambaye ni sister njau) kuhusiana na hali hiyo lakini wamekuwa wakijibiwa kuwa ni miujiza ya mungu na ndio maana wana akili sana.



Katika kudhihirisha hilo kuwa kuna nguvu isiyo ya kawaida mkuu huyo wa shule amekuwa akipandisha ada kiasi kama ukilipa ada ni kama unanunua shule lakini hata askofu hathubutu kuingilia kati na huku sister akizidi kuwa jeuri


tutafute ufumbuzi ……..tiririka
 
mbona hii thread imeandikwa sana kuna nini huko kwa masista?
 
Mkuu hapa umenichanganya kidogo, hoja yako kuu ni, USHIRIKINA au ADA?.
 
Tatizo taasisi nyingi za dini zina mambo yasiyo mazuri ni tuhuma za muda mrefu sana kama vile madawa ya kulevya nk sasa nani wa kumfunga paka kengele?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
tatizo la waafrika mawazo yao yote yapo kwenye umbea na ushirikina. Kila kifo lazima waseme ni ushirikina au freemason. Fanyeni kazi achaneni na majungu yasiyo na tija.
 
can you justfify how kukabwa kwa wanafunzi usiku,na mambo ya ajabu kuwatokea ,na kifo cha huyo Sista kwamba kuna husiana na freemason?.....je wote wafao ghafla vifo vyao husababishwa na ni imani hizo,ama je,hukuweza kusoma hapo kwa hiyo una chuki binafsi,.............THINK
Katika hali isiyouwa ya kawaia au kuaminika masikioni mwa walio wengi ni kuhusu hii dini ya jamii ya siri fremasons ambayo kwa siku za karibuni imekuwa ikitajwa sana na midomo ya watz wengi.


Hivi karibuni kuna tukio lililotokea katika shule ya st marigoreti iliyopo mjini moshi inayomlikiwa na na watawa wa shirika la bibi yetu wa huruma jimbo katoliki la moshi kuwa kuna mwanafunzi alifariki katika mazingira ya kutatansha


picha ilivyokuwa


mwanafunzi huyo mtawa aliyekuwa akijiendeleza kimasomo alifariki ghafla ndani ya bweni bila kuwepo kwa sababu zozote za kifo chake hicho ila hapo awali wanafnzi walishalalaika kuwa kuna vitu visivyofahamika vinavyoonekana usiku na hata kufikia hatua ya kuwanyonga wakiwa usingizini ni pamoja na mwanafunzi huyo aliyefariki imeelezwa.


Kwa mujibu wa taarifa za wanafunzi waliopo likizo katik maeneo mbali mbali hapa jijini dar walisema wamekuwa akitoa taarifa kwa mkuu wa shule(ambaye ni sister njau) kuhusiana na hali hiyo lakini wamekuwa wakijibiwa kuwa ni miujiza ya mungu na ndio maana wana akili sana.



Katika kudhihirisha hilo kuwa kuna nguvu isiyo ya kawaida mkuu huyo wa shule amekuwa akipandisha ada kiasi kama ukilipa ada ni kama unanunua shule lakini hata askofu hathubutu kuingilia kati na huku sister akizidi kuwa jeuri


tutafute ufumbuzi ……..tiririka
 
Mkuu hapa umenichanganya kidogo, hoja yako kuu ni, USHIRIKINA au ADA?.

Mkuu huyu tatizo lake ni ada. Nahisi pia kwamba ana ndugu yake ambaye anataka awe Mkuu wa Shule hiyo.

Mbona pia hatuambii postmortem ilionyesha nini?
 
mlianza kuchoma maknisa,saa mmehamia kwenye taasisi zake,hii vita ni kubwa,lkn hamataweza

Katika hali isiyouwa ya kawaia au kuaminika masikioni mwa walio wengi ni kuhusu hii dini ya jamii ya siri fremasons ambayo kwa siku za karibuni imekuwa ikitajwa sana na midomo ya watz wengi.


Hivi karibuni kuna tukio lililotokea katika shule ya st marigoreti iliyopo mjini moshi inayomlikiwa na na watawa wa shirika la bibi yetu wa huruma jimbo katoliki la moshi kuwa kuna mwanafunzi alifariki katika mazingira ya kutatansha


picha ilivyokuwa


mwanafunzi huyo mtawa aliyekuwa akijiendeleza kimasomo alifariki ghafla ndani ya bweni bila kuwepo kwa sababu zozote za kifo chake hicho ila hapo awali wanafnzi walishalalaika kuwa kuna vitu visivyofahamika vinavyoonekana usiku na hata kufikia hatua ya kuwanyonga wakiwa usingizini ni pamoja na mwanafunzi huyo aliyefariki imeelezwa.


Kwa mujibu wa taarifa za wanafunzi waliopo likizo katik maeneo mbali mbali hapa jijini dar walisema wamekuwa akitoa taarifa kwa mkuu wa shule(ambaye ni sister njau) kuhusiana na hali hiyo lakini wamekuwa wakijibiwa kuwa ni miujiza ya mungu na ndio maana wana akili sana.



Katika kudhihirisha hilo kuwa kuna nguvu isiyo ya kawaida mkuu huyo wa shule amekuwa akipandisha ada kiasi kama ukilipa ada ni kama unanunua shule lakini hata askofu hathubutu kuingilia kati na huku sister akizidi kuwa jeuri


tutafute ufumbuzi ……..tiririka
 
Katika hali isiyouwa ya kawaia au kuaminika masikioni mwa walio wengi ni kuhusu hii dini ya jamii ya siri fremasons ambayo kwa siku za karibuni imekuwa ikitajwa sana na midomo ya watz wengi.


Hivi karibuni kuna tukio lililotokea katika shule ya st marigoreti iliyopo mjini moshi inayomlikiwa na na watawa wa shirika la bibi yetu wa huruma jimbo katoliki la moshi kuwa kuna mwanafunzi alifariki katika mazingira ya kutatansha


picha ilivyokuwa


mwanafunzi huyo mtawa aliyekuwa akijiendeleza kimasomo alifariki ghafla ndani ya bweni bila kuwepo kwa sababu zozote za kifo chake hicho ila hapo awali wanafnzi walishalalaika kuwa kuna vitu visivyofahamika vinavyoonekana usiku na hata kufikia hatua ya kuwanyonga wakiwa usingizini ni pamoja na mwanafunzi huyo aliyefariki imeelezwa.


Kwa mujibu wa taarifa za wanafunzi waliopo likizo katik maeneo mbali mbali hapa jijini dar walisema wamekuwa akitoa taarifa kwa mkuu wa shule(ambaye ni sister njau) kuhusiana na hali hiyo lakini wamekuwa wakijibiwa kuwa ni miujiza ya mungu na ndio maana wana akili sana.



Katika kudhihirisha hilo kuwa kuna nguvu isiyo ya kawaida mkuu huyo wa shule amekuwa akipandisha ada kiasi kama ukilipa ada ni kama unanunua shule lakini hata askofu hathubutu kuingilia kati na huku sister akizidi kuwa jeuri


tutafute ufumbuzi ……..tiririka

Aisee kama ni unataka kuichafua hii shule hapo andika umeshindwa....

Maana hueleweki, ni ada imekushinda kulipa au ni nn...?
Kama ada imekushinda mpeleke mwanao Kata...
 
Aisee kama ni unataka kuichafua hii shule hapo andika umeshindwa....

Maana hueleweki, ni ada imekushinda kulipa au ni nn...?
Kama ada imekushinda mpeleke mwanao Kata...

Huenda naye ni sista na ana bifu la muda mrefu na mkuu wa shule..
 
can you justfify how kukabwa kwa wanafunzi usiku,na mambo ya ajabu kuwatokea ,na kifo cha huyo Sista kwamba kuna husiana na freemason?.....je wote wafao ghafla vifo vyao husababishwa na ni imani hizo,ama je,hukuweza kusoma hapo kwa hiyo una chuki binafsi,.............THINK

Huyu anachuki binafsi na Mkuu wa shule....

Alikuja hapa na thread yake hii akawa ameandika kama anaharisha watu wakaponda sasa naona kaja tena....

Mwanzo alisema kaongea na baadhi ya walimu na wanafunzi hapo shuleni sasa kaona kaingia chaka maana watu wangehoji sasa hivi wanafunzi wote na walimu wapo likizo; akabadilisha akasema ameongea na wanafunzi walioko likizo....

Nimemsoma huyu anachuki na mkuu wa shule...
 
Tatizo taasisi nyingi za dini zina mambo yasiyo mazuri ni tuhuma za muda mrefu sana kama vile madawa ya kulevya nk sasa nani wa kumfunga paka kengele?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Sasa makanisa yamewashinda mmeamua kuamia kwenye shule....Aisee hamtaweza kabisa..
 
Hii ni mara ya pili anakuja tena hapa...Huyu naona ana chuki binafsi na mkuu wa shule...

umeona eeh!! mara ya kwanza headaing ilikuwa freemason na shule za kanisa hlf leo kajiadai kubadili heading tu, pumbavu zake kbs km hana ada si amtoe mtoto wake huko?
 
sio chuki tuu,me nafikiri pia kuna ajenda imefichwa hapa,huenda ni ale wa upande wa pili,walianza kuchomama makanisa,sasa naona wamehamia kuchafua taasisi za kanisa,huu ni ujinga sana tu,mbinu zao za kupigana ni za kishenzi sana,si wajenge anoa shule,kazi kununua malori na mabasi...waishie zao huko

Huyu anachuki binafsi na Mkuu wa shule....

Alikuja hapa na thread yake hii akawa ameandika kama anaharisha watu wakaponda sasa naona kaja tena....

Mwanzo alisema kaongea na baadhi ya walimu na wanafunzi hapo shuleni sasa kaona kaingia chaka maana watu wangehoji sasa hivi wanafunzi wote na walimu wapo likizo; akabadilisha akasema ameongea na wanafunzi walioko likizo....

Nimemsoma huyu anachuki na mkuu wa shule...
 
Katika hali isiyouwa ya kawaia au kuaminika masikioni mwa walio wengi ni kuhusu hii dini ya jamii ya siri fremasons ambayo kwa siku za karibuni imekuwa ikitajwa sana na midomo ya watz wengi.


Hivi karibuni kuna tukio lililotokea katika shule ya st marigoreti iliyopo mjini moshi inayomlikiwa na na watawa wa shirika la bibi yetu wa huruma jimbo katoliki la moshi kuwa kuna mwanafunzi alifariki katika mazingira ya kutatansha


picha ilivyokuwa


mwanafunzi huyo mtawa aliyekuwa akijiendeleza kimasomo alifariki ghafla ndani ya bweni bila kuwepo kwa sababu zozote za kifo chake hicho ila hapo awali wanafnzi walishalalaika kuwa kuna vitu visivyofahamika vinavyoonekana usiku na hata kufikia hatua ya kuwanyonga wakiwa usingizini ni pamoja na mwanafunzi huyo aliyefariki imeelezwa.


Kwa mujibu wa taarifa za wanafunzi waliopo likizo katik maeneo mbali mbali hapa jijini dar walisema wamekuwa akitoa taarifa kwa mkuu wa shule(ambaye ni sister njau) kuhusiana na hali hiyo lakini wamekuwa wakijibiwa kuwa ni miujiza ya mungu na ndio maana wana akili sana.



Katika kudhihirisha hilo kuwa kuna nguvu isiyo ya kawaida mkuu huyo wa shule amekuwa akipandisha ada kiasi kama ukilipa ada ni kama unanunua shule lakini hata askofu hathubutu kuingilia kati na huku sister akizidi kuwa jeuri


tutafute ufumbuzi ……..tiririka

Kijana umekosea njia!! Pengine Shigongo angekufaa zaidi! Juzi ulikuja na uzi huu huu,leo umebadili tu "title" na unatarajia Great Thinkers wasione hilo??? Ama kweli JF imeingiliwa na watoto wa shule za "voda fasta"!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom