Ushindi wa kishindo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Katika nchi inayofuata demokrasia na uchaguzi wa haki rais anaweza kushinda kwa zaidi ya 90% kweli? Basi rais huyo atakuwa na nguvu za ziada za kuweza kutatua kero zote za wanchi kuanzia huduma za jamii, miundo mbinu na uchumi.

Mkiona madiwani wanapita bila kupingwa mjue na wabunge watapata slope hiyo hiyo. Mwisho wa yote rais atapita kwa 98%. Hivi kweli kabisa unatawala binadamu huru upate 98% ya watu wanakubali utawala wako! Wonders shall never end.

Haya mambo tulizoea kuyaona Rwanda, sasa sisi ndiyo siasa yunazoziamini. Rwanda wakianza kampeni tu tuna just Kagame ndiye mshindi kwa 99%. Hata Uganda ni hivyo hivyo.

Kwa kweli nchi za Afrika zinazofanya uchaguzi zaidi ya Botswana na Ghana sijui ni zipi maana sisi tunaigiza uchaguzi kama Bongo Movie.
 
serikali ya awamu ya tano inakubalika mnoooo
 
hata mimi natarajia kujiuzulu nafasi zangu zote kuunga mkono juhudi za mh rais
 
nawapongeza wote wanauunga mkono utawala wa JPM.
 
Tumefika kwenye utawala wa kiimla.
 
Awamu ya tano inakubalika sana,haina "Udhaifu"..in Mnyika's voice.
 
Hakuna kiumbe huyo duniani Wa kupendwa na watu wote,hata hao tunaoambiwa ni nitumie pia hawakupendwa na watu wote! 90% ni nyingi mno hakunaga kitu kama hicho ni kupigwa changa la macho tu
Nalog off
 
Unajua wazungu kuna muda huwa wakituita uncivilized/washenzi mimi huwa nafurahia na kupenda hilo maana linasadifu ukweli na akili zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…