PreGE2025 Ushindi wa kishindo kwa hali hii ni dhuluma!!!

PreGE2025 Ushindi wa kishindo kwa hali hii ni dhuluma!!!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Justard zelphine

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
461
Reaction score
278
Tuna amini kwamba tawala zote duniani utoka kwa Mungu!

Ni kweli maana Mungu ndo muumba wa vitu vyote!

Chaguzi zote za haki ni sehemu ya kumpendeza Mungu! Chaguzi za dhuluma ni machukizo ya Mungu! Kama kuna watu wanalalamika automatically ni chaguzi za kuzimu! Ndo maana tunaona ardhi imepanua mdomo wake kwa sasa na kumeza damu ya wasio na hatia!

Kuua, kusingizia kesi, kudanganya hakuwezi kuhalalisha ushindi wa kishindo! Ushindi wa kishindo ni FREE AND FAIR ELECTION!

NJE YA HAPO NI UTAWALA WA KISHETANI
 
Tuna amini kwamba tawala zote duniani utoka kwa Mungu!

Ni kweli maana Mungu ndo muumba wa vitu vyote!

Chaguzi zote za haki ni sehemu ya kumpendeza Mungu! Chaguzi za dhuluma ni machukizo ya Mungu! Kama kuna watu wanalalamika automatically ni chaguzi za kuzimu! Ndo maana tunaona ardhi imepanua mdomo wake kwa sasa na kumeza damu ya wasio na hatia!

Kuua, kusingizia kesi, kudanganya hakuwezi kuhalalisha ushindi wa kishindo! Ushindi wa kishindo ni FREE AND FAIR ELECTION!

NJE YA HAPO NI UTAWALA WA KISHETANI
Do all people believe in God?
 
Sio tawala zote zinatoka kwa Mungu.
Mfano utawala wa Mobutu sese seko Kuku Ngbendu Wazabanga ulitoka kwa CIA baada ya kumkata vipande vipande P. Lumumba na kutia vipande hivyo kwenye tindikali. Vile vile utawala wa nduli dada.
 
Samia CCM hawamtaki, ila ametumia ubabe kujiteua, wabunge wa ccm wanataka saport ya samia kuiba uchaguzi ili warudi bungeni. uchaguzi ukiwa huru , wabunge ndo wa kwanza kushughulikiwa na wananchi
 
Back
Top Bottom