1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Maana kila siku malalamiko kuwa Gamondi hana uwezo, timu imeshuka kiwango, lkn jana timu ilionekana kuwa na nguvu ya ugolo.
Ss hv kocha hasemwi wala hatukanwi, majigambo kwa kwenda mbele.
Naomba kuuliza ni yeye amebadilika ghafla hadi ushindi mnono ule au Mganga asifiwe?
Ss hv kocha hasemwi wala hatukanwi, majigambo kwa kwenda mbele.
Naomba kuuliza ni yeye amebadilika ghafla hadi ushindi mnono ule au Mganga asifiwe?