1. CCM imepata wabunge wangapi kati ya wabunge wote?
2. Watumnasiri sana, kumbe Jerry hakurudi bungeni, kweli power is transient, tuheshimiane, dunia mapito.
3. Kwa ushindi huu mnono, mbona sioni pongezi zikimiminika? Ukiachia kejeli za Lucas Mwashambwa.
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. CCM inaheshimu sauti za wananchi na kuheshimu sanduku la kura na ndio maana imekubali kupoteza jimbo la ukonga kwa Jerry Slaa kama ilivyo kule Nkasi kaskazini na Kigoma kaskazini.
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. CCM inaheshimu sauti za wananchi na kuheshimu sanduku la kura na ndio maana imekubali kupoteza jimbo la ukonga kwa Jerry Slaa kama ilivyo kule Nkasi kaskazini na Kigoma kaskazini.
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. CCM inaheshimu sauti za wananchi na kuheshimu sanduku la kura na ndio maana imekubali kupoteza jimbo la ukonga kwa Jerry Slaa kama ilivyo kule Nkasi kaskazini na Kigoma kaskazini.