ladykim
Member
- Dec 28, 2012
- 67
- 17
Niliona friend request ya mzungu facebook nikarespond akaanza kunitongoza nikawa namuenjoy tu bas aliniomba request 12/apr bas juzi akaniambia ameenda mall for shopping na mom wake akamwambia buy for ur galfren gift akanisms kua amenunua vitu vifuatavyo hp laptop, ipod, blackberry, iPhone phone, digital camera, 24kg gold cheni, na pete ya gold above all kaniwekea usd 4500 ndani ya laptop na katuma kwa kampun inaitwa united link cargo kua wakifikisha watanipigia simu nilishtuka sana mtu kakujua for 2 weeks nilichofanya ni kumpa fake name coz sii hili natumia facebook ninaogopa sana zaid nimemunfriend