Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,817
- 32,196
kwaza nicheke
Ilikuwa siku fulani hiyo nilikuwa na stress balaa sasa nikaona sio tabu ngoja nijitoe out nikatoka mpaka sehemu yangu pendwa kwa bendi mzuri CAPE TOWN kufika pale nikaomba menu nikachagua kinywaji soft drink asee.
Nililetewa cresta ile ya ndimu kali sasa kumrudisha naona noma kashaifungua nikazuga nikamwambia embu nilete tena menu nikasoma vizuri nikaiona mojito nikaagiza chap ili kutoa aibu
Now huwa nauliza kwa muhudumu
Ilikuwa siku fulani hiyo nilikuwa na stress balaa sasa nikaona sio tabu ngoja nijitoe out nikatoka mpaka sehemu yangu pendwa kwa bendi mzuri CAPE TOWN kufika pale nikaomba menu nikachagua kinywaji soft drink asee.
Nililetewa cresta ile ya ndimu kali sasa kumrudisha naona noma kashaifungua nikazuga nikamwambia embu nilete tena menu nikasoma vizuri nikaiona mojito nikaagiza chap ili kutoa aibu
Now huwa nauliza kwa muhudumu