Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,373
ππππ yaani lilimtoka tu dadaeqOfcz mimi hakua crush wangu ila natumain alikua na ka boy kake mle darasani..E bwana yule dada alijamba kwa nguvu sanaaaaa kipind kikiendelea halaf darasa lipo kimyaaa...Aisee kila mtu alijua ni yeye..Yan kwa nguvu balaa..
Sijui boyfriend wake alijiskiaje ila yeye alipopata upenyo wa kutoka hakurud tena class
Mkuu acha aisee..Alikua anaitwa Anamarryππππ yaani lilimtoka tu dadaeq
πππaisije akawa anajiona hapaππMkuu acha aisee..Alikua anaitwa Anamarry
πππOfcz mimi hakua crush wangu ila natumain alikua na ka boy kake mle darasani..E bwana yule dada alijamba kwa nguvu sanaaaaa kipind kikiendelea halaf darasa lipo kimyaaa...Aisee kila mtu alijua ni yeye..Yan kwa nguvu balaa..
Sijui boyfriend wake alijiskiaje ila yeye alipopata upenyo wa kutoka hakurud tena class
hahahahaha usikute kasoma hadi hiiHakuna aibu kubwa kama kuwekwa kwenye ignore list na crush wako, huyu crush bana nimetumia mbinu zote nimejisemesha hapa jukwaani nimejisemesha PM kwake wala hakuwahi kunijibu, nilimwanzishia mpaka thread wapi, kimya kama vile haoni kinachoendelea na block juu, sasa hivi majuzi amenitoa kwenye block ila PM yake imefungwa
Najiona bonge la fala aisee, sio kwa kupuuzwa huko, maana huko ni kupuuzwa kwa kiwango cha stigila goji
sawa karibuuNitarudi
Hata kama amesoma labda huko.alipo atakua anasema huyu jamaa fala sanahahahahaha usikute kasoma hadi hii
πππππHata kama amesoma labda huko.alipo atakua anasema huyu jamaa fala sana
π€£π€£π€£π€£Kuna siku nilkutana nae kwenye miangaiko nimechafuka balaa nikampa hi! Akauchuna dah!!! Iliniuma sana.
π€£π€£π€£Crush wangu deile alikua ananiona au tunakutana nikiwa mchafu chafu, yani sijawaka nimetoka beba gunia za ngano mara nini, tabu tupu, nilikua natamani anione nikiwa kitofauti, kumbe BWANA ndo nilkua namvutia kuliko
Hakuna aibu kubwa kama kuwekwa kwenye ignore list na crush wako, huyu crush bana nimetumia mbinu zote nimejisemesha hapa jukwaani nimejisemesha PM kwake wala hakuwahi kunijibu, nilimwanzishia mpaka thread wapi, kimya kama vile haoni kinachoendelea na block juu, sasa hivi majuzi amenitoa kwenye block ila PM yake imefungwa
Najiona bonge la fala aisee, sio kwa kupuuzwa huko, maana huko ni kupuuzwa kwa kiwango cha stigila goji