Ushawahi pata aibu gani mbele ya crush yako?

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Dec 7, 2019
3,837
6,370
Ile time kuna PISI kali ,au ka gentle fulani unakaelewa vilivyo unatafuta timing ukajimbwae mbwae

Unamuelewa kiasi kwamba unajiweka tofauti na kawaida ili hata asikuchukulie kawaida

Binafsi Enzi za kidato kuna Mdada mmoja nlikuwa namuhusudu sana na nlitengeneza mazingira ya kuniona wa tofauti ikiwemo kipato , lakini ilinikuta Fadhaa moja mbele yake


SI NILITUMWA KWAO KUUZA KUKU๐Ÿ”๐Ÿ˜‚


Tiririka nasi hapa AIBU gani ilikupata mbele ya CRUSH wako?
 
Ofcz mimi hakua crush wangu ila natumain alikua na ka boy kake mle darasani..E bwana yule dada alijamba kwa nguvu sanaaaaa kipind kikiendelea halaf darasa lipo kimyaaa...Aisee kila mtu alijua ni yeye..Yan kwa nguvu balaa..
Sijui boyfriend wake alijiskiaje ila yeye alipopata upenyo wa kutoka hakurud tena class
 
Ofcz mimi hakua crush wangu ila natumain alikua na ka boy kake mle darasani..E bwana yule dada alijamba kwa nguvu sanaaaaa kipind kikiendelea halaf darasa lipo kimyaaa...Aisee kila mtu alijua ni yeye..Yan kwa nguvu balaa..
Sijui boyfriend wake alijiskiaje ila yeye alipopata upenyo wa kutoka hakurud tena class
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yaani lilimtoka tu dadaeq
 
Hakuna aibu kubwa kama kuwekwa kwenye ignore list na crush wako, huyu crush bana nimetumia mbinu zote nimejisemesha hapa jukwaani nimejisemesha PM kwake wala hakuwahi kunijibu, nilimwanzishia mpaka thread wapi, kimya kama vile haoni kinachoendelea na block juu, sasa hivi majuzi amenitoa kwenye block ila PM yake imefungwa

Najiona bonge la fala aisee, sio kwa kupuuzwa huko, maana huko ni kupuuzwa kwa kiwango cha stigila goji
 
Ofcz mimi hakua crush wangu ila natumain alikua na ka boy kake mle darasani..E bwana yule dada alijamba kwa nguvu sanaaaaa kipind kikiendelea halaf darasa lipo kimyaaa...Aisee kila mtu alijua ni yeye..Yan kwa nguvu balaa..
Sijui boyfriend wake alijiskiaje ila yeye alipopata upenyo wa kutoka hakurud tena class
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hakuna aibu kubwa kama kuwekwa kwenye ignore list na crush wako, huyu crush bana nimetumia mbinu zote nimejisemesha hapa jukwaani nimejisemesha PM kwake wala hakuwahi kunijibu, nilimwanzishia mpaka thread wapi, kimya kama vile haoni kinachoendelea na block juu, sasa hivi majuzi amenitoa kwenye block ila PM yake imefungwa

Najiona bonge la fala aisee, sio kwa kupuuzwa huko, maana huko ni kupuuzwa kwa kiwango cha stigila goji
hahahahaha usikute kasoma hadi hii
 
Crush wangu deile alikua ananiona au tunakutana nikiwa mchafu chafu, yani sijawaka nimetoka beba gunia za ngano mara nini, tabu tupu, nilikua natamani anione nikiwa kitofauti, kumbe BWANA ndo nilkua namvutia kuliko
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hakuna aibu kubwa kama kuwekwa kwenye ignore list na crush wako, huyu crush bana nimetumia mbinu zote nimejisemesha hapa jukwaani nimejisemesha PM kwake wala hakuwahi kunijibu, nilimwanzishia mpaka thread wapi, kimya kama vile haoni kinachoendelea na block juu, sasa hivi majuzi amenitoa kwenye block ila PM yake imefungwa

Najiona bonge la fala aisee, sio kwa kupuuzwa huko, maana huko ni kupuuzwa kwa kiwango cha stigila goji

Poleeee tulia na mkeo
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom